umeona eehh!!Usifungwe tu maana ndo kwanzaaa kumekucha
hatutaki ramli chonganishiiiHuu mwezi ni special kwa wanawake.... Msikimbie mapambano jamani
Hapendi malumbano.. Alishanikataza ndiomana sijamtaja.. Ninywwe kwa kipi hasa?? huyo kameza ya maneno yote machafu ndomana anaropoka ropokahahaa...yani kuna mtu kaitwa punda sijui mavi usiku wote huu?..hamna huruma nyi watu?.....katoto kamenywea hata amesahau kumquote kivulana chake..muoneeni imani mtoto wa watu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
angekukataza na kuzua tafarani humu..ona sasa unajiaibisha mama?..ya nini kulumbana kama wako anakupenda?Hapendi malumbano.. Alishanikataza ndiomana sijamtaja.. Ninywwe kwa kipi hasa??
Wee jiulize kwanini wote hao wanarusha mawe kwa mtu mmoja??? Utapata jibu
Sijalumbana na mtu I was commenting jamani.. Huu ni uzi kama nyuzi nyingine....angekukataza na kuzua tafarani humu..ona sasa unajiaibisha mama?..ya nini kulumbana kama wako anakupenda?
Na tulale kweli, nina usingizi hapa napiga umbea tu.Bangi noma sana...[emoji16][emoji16]
Tulale jamani kah...
ila kwa ushauri wangu keep low profile..sioni haja ya kujiweka wazi kuwa tayari ushapendwa na mwanamme manake ikitokea siku mkabwagana utaaibika mama..hizo cc tupa kule kabisa..nahisi ni watu wazima mapenzi ya ki highschool hayawafaiHapendi malumbano.. Alishanikataza ndiomana sijamtaja.. Ninywwe kwa kipi hasa?? huyo kameza ya maneno yote machafu ndomana anaropoka ropoka
Wee jiulize kwanini wote hao wanarusha mawe kwa mtu mmoja??? Utapata jibu
Kama hawataki basi, anzisha kitu kingine. Maana hii inaleta uhasama, like personal ishu since mtu akiwa nominated. Nadhani watu hawajape da hiyoMaserati unaona watu hawataki Battle tena
Mtu anaoga nje,watu wakimshangaa anawaona wabaya...anyways ni changamsha genge tu.angekukataza na kuzua tafarani humu..ona sasa unajiaibisha mama?..ya nini kulumbana kama wako anakupenda?
Ni shidaaaaaaWe acha tu kuna watu hawakuzaliwa kwa mipango wapo walioshushwa bila kusahau waliojiotea tu
Khakhaakhaaaaaila kwa ushauri wangu keep low profile..sioni haja ya kujiweka wazi kuwa tayari ushapendwa na mwanamme manake ikitokea siku mkabwagana utaaibika mama..hizo cc tupa kule kabisa..nahisi ni watu wazima mapenzi ya ki highschool hayawafai
sasa utashikilia hapohapo wakati wote tumeshuhudia ukiyaanza mwenyewe?..kumbuka yule salt kama humfaham vyema ni mtu mzima tena huwezi kushindana nae...atakubwaga virahisi..chukia zani mamaSijalumbana na mtu I was commenting jamani.. Huu ni uzi kama nyuzi nyingine....
Mchawi si lazima aroge jamanieeeee!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Na tulale kweli, nina usingizi hapa napiga umbea tu.
Nipe dongo la mwisho basi nilale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
haaya..hukatazwi basi endelea..muda wako wa kubaini kipi kinafaa na kipi hakifai ukifika utafanya maamuzi mwenyewe
Mtu anaoga nje,watu wakimshangaa anawaona wabaya...anyways ni changamsha genge tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukisikia aqaaaaa. Kuna ambae limempata huko gizani[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukijinyea hadharani uwe tayari kuzomewa!