Uchaguzi 2020 SAU Kuzindua ILANI na KAMPENI zake jumapili 13/09/2020

Uchaguzi 2020 SAU Kuzindua ILANI na KAMPENI zake jumapili 13/09/2020

Alette

Member
Joined
Jul 18, 2020
Posts
9
Reaction score
0
Chama cha sauti ya umma (SAU) Kinatarajia kuzindua ilani ya uchaguzi mkuu wa 2020 na kampeni zake siku ya tarehe 13/09/2020

Uzinduzi wa ilani utafanyika kizitendo katika eneo la KWAZOO kata ya buyuni na baadae mkutano wa uzinduzi eneo la MOMBASA karibu na stand ya mabus katika Jimbo la ukonga jijini Dar es Salaam

Zaidi soma: Uchaguzi 2020 - SAU wazindua Kampeni na Ilani kwa vitendo. Watumia Trekta Kulima kuonesha dhamira ya Kumtoa Mtanzania kwenye Jembe la Mkono
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Uzinduzi wa kampeni za SAU
IMG-20200912-WA0001.jpg
IMG-20200912-WA0002.jpg
IMG_20200912_141131_834.jpg


Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Saa ngapi ? Mbona huweki wawakikilishi wa CCM wataku kusikiliza sera zenu kama zina mashiko zifanyiwe kazi na awamu ya sita ya Magufuli sababu Keri za wananchi zaweza pelekwa moja kwa moja kwa mbunge apeleke bungeni au kupitia taaisi za kijamii au vyama vya kisiasa kupitia ilani au viongozi wa serikali au CCM

CCM wawakilishi watakuwepo usijali hawatajitambulisha nyie shukeni tu kueleza ilani na sera zikionekana zina mashiko CCM chama sikivu kitayafanyia kazi kabla au baada ya uchaguzi sababu bado CCM iko madarakani
 
Back
Top Bottom