SAU yaishauri Serikali kwa kushirikia na vyombo vya habari kuhasisha misaada kwa Uturuki na Syria

SAU yaishauri Serikali kwa kushirikia na vyombo vya habari kuhasisha misaada kwa Uturuki na Syria

Sauti ya Umma

Member
Joined
Aug 26, 2010
Posts
39
Reaction score
21
Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kimeishauri serikali kwa kushirikiana na vyombo vya habari na makundi mengine kutenga siku maalum ya kuhamasisha watanzania kuwachangia wenzetu wa Uturuki na Syria waliokumbwa na janga la tetemeko la ardhi.

Tetemeko hilo lililosababisha takribani watu 47,000 kupoteza maisha, majeruhi wengi lakini uharibifu mkubwa uliotokea ambao watu wengi wamekosa makazi.

Japo kuwa kwa sasa ipo namba maalum kutoka ubalozini kwa ajili ya kuchangia lakini hakuna uhamasishaji na watanzania wengi hawajui Kama kuna njia hiyo ya kuchangia.

FullSizeRender.jpg



Hawa ni wenzetu washirika wetu tuwenao pamoja katika kipindi hiki kigumu sana kwao ikizingatiwa jana tetemeko hilo limejirudia tena
 
Watanzania wenyewe ni wakuchangia, maana wapo hoi taabani, then unaenda kwa mgonjwa kumuomba damu!!

Ukitaka maajabu ya dunia na vituko vya kucheka kuvunjika mbavu njoo tanzania!!
 
Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kimeishauri serikali kwa kushirikiana na vyombo vya habari na makundi mengine kutenga siku maalum ya kuhamasisha watanzania kuwachangia wenzetu wa Uturuki na Syria waliokumbwa na janga la tetemeko la ardhi.

Tetemeko hilo lililosababisha takribani watu 47,000 kupoteza maisha, majeruhi wengi lakini uharibifu mkubwa uliotokea ambao watu wengi wamekosa makazi.

Japo kuwa kwa sasa ipo namba maalum kutoka ubalozini kwa ajili ya kuchangia lakini hakuna uhamasishaji na watanzania wengi hawajui Kama kuna njia hiyo ya kuchangia.

View attachment 2524796


Hawa ni wenzetu washirika wetu tuwenao pamoja katika kipindi hiki kigumu sana kwao ikizingatiwa jana tetemeko hilo limejirudia tena
SAU angalau mna vijiakili kuliko CHADEMA
 
Back
Top Bottom