SAU yazindua kauli mbiu mpya

Hii Ni Slogani iliyoasisiwa na St Benedict na ikabebwa na wamisionary wa shirika la wabenedictin! Kilatini inaitwa Ora et Labora!
Je watu wa madhehebu mengine na Dini nyingine tofauti na wakatoliki hawataona kwamba mmejinasibisha Kidini na kidhehebu zaidi kitu kitakachofanya mkose kuungwa mkono na makundi hayo mengine?

Ora et Labora

St Benedict's motto was Ora et Labora (prayer and work). Laborare Est Orare (to work is to pray), detail of a nineteenth century painting by John Rogers Herbert, showing Benedictine monks at work
 

Sisi hatuna dini ndio maana SAU tumekuwa chama pekee kinacho heshimu dini zote na kuamua kutofanya mikutano ya hadhara kwa vipindi vyote viwili ambavyo watanzania watakuwa ktk Ramadhani na Kwaresma

KACHUNGUZE KWY VYAMA VINGINE UPATE MAJIBU
 
Ni chama cha siasa ama?

SAUTI YA UMMA (SAU) ni chama cha siasa chenye viongozi wanaoishi Tanzania pamoja na familia zao, wakiwa 100% raia wa Tanzania wenye uchungu na Tanzania na nia ya kweli ya kuwavusha watanzania
 
SAUTI YA UMMA (SAU) ni chama cha siasa chenye viongozi wanaoishi Tanzania pamoja na familia zao, wakiwa 100% raia wa Tanzania wenye uchungu na Tanzania na nia ya kweli ya kuwavusha watanzania

Mnaishi wote Tanzania na familia zenu na bado chama hakifahamiki, mkiianza kuishi na familia zenu nje itakuwaje boss?
 
Kiongozi wa Kitaifa ni nani?na ni upi ulikuwa msimamo wenu baada ya Magufuli kuzuia mikutano ya hadhara kiharamu na nini ulikuwa msimamo wenu juu ya Uchafuzi wa 2020?
 
Kiongozi wa Kitaifa ni nani?na ni upi ulikuwa msimamo wenu baada ya Magufuli kuzuia mikutano ya hadhara kiharamu na nini ulikuwa msimamo wenu juu ya Uchafuzi wa 2020?
Sala na Kazi.wabenedictin wa catholic wameliweza hilo.SAU Watakuwa wanasalia wapi? Na kazi gani watafanya wakati hakuna mitaji na ajira?
 
CHAUMA Ndiyo Mpango Mzima Kwako Hashim Rungwe Spunda
Lete Ubwabwa, Watu Wale Washibe, Wawaze Vema
Chimba Mfereji Bahari Mpaka Dodoma
Umwagiliaji Kwa Helicopter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…