Sauda Mwilima kimeeleweka

Ndio maana alimkosa mtoto wake kwa uzembe wake wa kujichubua.
Halafu sipati picha hyo harufu, jamani.
Hata Dida nae, ningekuwa mwanaume, mke wa vile sioi.
 
mmhh...!! Kwahyo amekua kama mbuzi katoliki.?

Alimkosaje mtoto Madame B .?
 
Last edited by a moderator:
mmhh...!! Kwahyo amekua kama mbuzi katoliki.?

Alimkosaje mtoto Madame B .?

Mtoto wake alifariki mara baada ya kujifungua, wanasema aliathirika na madawa aliyokuwa anameza.
 
Last edited by a moderator:
Kwani Sauda anajipodoa au anajichubua? Yote haya yanatokana na watu kuichukia ngozi yao na kudhani weupe ni uzuri. Sasa wanatisha kama Sauda. Sijui nani alimdanganya wakati alikuwa na ranhi nzuri tu ya maharage.
 
Kweli anatisha.
Anadhani weupe ni dili. Amesahau kama weupe mali basi ubuyu usingiwekwa rangi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…