Saudi Arabia na EPL ugomvi zito

Saudi Arabia na EPL ugomvi zito

Deal28

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
96
Reaction score
114
Tangu ufunguzi wa usajili katika ligi mbalimbali duniani SAUDI ARABIA imeonekana ndio kinara katika kunyakua saini za wachezaji wakubwa ambao waLItegemewa na kuwa kivutio kikubwa kwenye EPL, miongoni wa wachezaji hao ni

Christiano Ronaldo (Manchester United), Karim Benzema (Real Madrid), Ruben Neves (Wolves), Hakim Ziyech (Chelsea), Kalidou Koulibaly (Chelsea) na Ngólo Kante (Chelsea), mbali na hapo hivi karibuni wako mbioni kuina saini ya mwamba wa africa, Saido Mane kutoka Liverpool

Swali ni kwamba ni nini hasa dhima ya Saudi Arabia na EPL?
 
Tangu ufunguzi wa usajili katika ligi mbalimbali duniani SAUDI ARABIA imeonekana ndio kinara katika kunyakua saini za wachezaji wakubwa ambao waLItegemewa na kuwa kivutio kikubwa kwenye EPL, miongoni wa wachezaji hao ni

Christiano Ronaldo (Manchester United), Karim Benzema (Real Madrid), Ruben Neves (Wolves), Hakim Ziyech (Chelsea), Kalidou Koulibaly (Chelsea) na Ngólo Kante (Chelsea), mbali na hapo hivi karibuni wako mbioni kuina saini ya mwamba wa africa, Saido Mane kutoka Liverpool

Swali ni kwamba ni nini hasa dhima ya Saudi Arabia na EPL?

Waarabu kwa sababu wanapesa wameamua kufanya umafia na sio muda ligi yao itakua yenye mvuto na itakubalika na itakua ndoto ya kila mchezaji kwenda kwenye pesa nyingi na ligi ya ulaya itafifia na kubaki ya kawaida tu ngoja uone miaka kadhaa mbele, mawakala washakimbilia saud arabia kufanya mikakati ya kibiashara kwa sasa
 
WAARABU Huwa ni Waharibifu mno.

Wanawalipa wachezaji Mishahara ya kufuru.

FIFA inakataza MATUMIZI makubwa mno, INASISTIZA Fair play.

Mchezaji Huwa Akienda uarabuni Harudi na kiwango kile alichoondoka nacho.

HAWA WAARABU WADHIBITIWE.
FIFA AMKENI
 
WAARABU Huwa ni Waaribifu mno.

Wanawalipa wachezaji Mishahara ya kufuru.

FIFA inakataza MATUMIZI makubwa mno, INASISTIZA Fair play.

Mchezaji Huwa Akienda uarabuni Harudi na kiwango kile alichoondoka nacho.

HAWA WAARABU WADHIBITIWE.
FIFA AMKENI
Hawana haki ya kuwa na ligi?
Barca mbona ilifungiwa kwa muda sababu ya ufujaji kama huo wa pesa?

Man city nao walinusurika, psg? Mkuu acha wivu waache nao walipe wachezaji pesa ndefu , maana nao wachezaji wana familia
 
Kwanza Warabu angalau akili imewekwa sawa sasahv.. ukiangalia ligi ya EPL wafadhili wa timu kubwakubwa ni Warabu wenyewe...sasa ni kwa nini walikuwa wanashindwa kufadhili ligi za kwao uarabuni wanahangaika na ligi za wenzao ulaya?
 
Tangu ufunguzi wa usajili katika ligi mbalimbali duniani SAUDI ARABIA imeonekana ndio kinara katika kunyakua saini za wachezaji wakubwa ambao waLItegemewa na kuwa kivutio kikubwa kwenye EPL, miongoni wa wachezaji hao ni

Christiano Ronaldo (Manchester United), Karim Benzema (Real Madrid), Ruben Neves (Wolves), Hakim Ziyech (Chelsea), Kalidou Koulibaly (Chelsea) na Ngólo Kante (Chelsea), mbali na hapo hivi karibuni wako mbioni kuina saini ya mwamba wa africa, Saido Mane kutoka Liverpool

Swali ni kwamba ni nini hasa dhima ya Saudi Arabia na EPL?
Umemsahau na Riyaz Mahrez pia kutoka Manchester City
 
WAARABU huku Bahi Dodoma wamemshambulia Punda wote.

Wanahusishwa kuwa na Tabia za (mtungo)
Kwa kuwaingilia Nyuma na Mbele wanawake.

Wanaume zaidi ya watatu mwanamke mmoja..

HAO ni waturuki
 
WAARABU Huwa ni Waharibifu mno.

Wanawalipa wachezaji Mishahara ya kufuru.

FIFA inakataza MATUMIZI makubwa mno, INASISTIZA Fair play.

Mchezaji Huwa Akienda uarabuni Harudi na kiwango kile alichoondoka nacho.

HAWA WAARABU WADHIBITIWE.
FIFA AMKENI
Financial fair play ni kwa ajili ya UEFA tu... INAFANYA KAZI ULAYA PEKEE AKE
SIO FIFA.

INGEKUWA YA FIFA HATA SIMBA NA YANGA ZINGEADHIBIWA.
 
WAARABU Huwa ni Waharibifu mno.

Wanawalipa wachezaji Mishahara ya kufuru.

FIFA inakataza MATUMIZI makubwa mno, INASISTIZA Fair play.

Mchezaji Huwa Akienda uarabuni Harudi na kiwango kile alichoondoka nacho.

HAWA WAARABU WADHIBITIWE.
FIFA AMKENI
Bado kuweka kombe litakalo itwa inter continental ballistic football cup ICBFC litakalokuwa na thamani kuzidi makombe yote unayo yajua hapo FIFA na EPL ndo watajua hawajui
 
Waarabu ni kama wanaoa demu ambae alishatumika!/kuzalishwa.... sio bikra.....

Wanaoa single mothers ambao wana watoto tayari! .....wako desperate kuolewa na yeyote ...!

Wanachukua wachezaji Ambao hawana cha kupoteza, walishavuna vyote kwenye maisha yao ya soka ...

Demu bikra mwenye Ndoto( mchezaji anaechipukia)alieko kwenye peak).....

Mwenye Ndoto ya kutimiza mengi kwenye soka....hawezi kwenda huko!.
 
Waarabu kwa sababu wanapesa wameamua kufanya umafia na sio muda ligi yao itakua yenye mvuto na itakubalika na itakua ndoto ya kila mchezaji kwenda kwenye pesa nyingi na ligi ya ulaya itafifia na kubaki ya kawaida tu ngoja uone miaka kadhaa mbele, mawakala washakimbilia saud arabia kufanya mikakati ya kibiashara kwa sasa
Kumbuka China alishafanya hicho kabla ya waarabu
 
WAARABU Huwa ni Waharibifu mno.

Wanawalipa wachezaji Mishahara ya kufuru.

FIFA inakataza MATUMIZI makubwa mno, INASISTIZA Fair play.

Mchezaji Huwa Akienda uarabuni Harudi na kiwango kile alichoondoka nacho.

HAWA WAARABU WADHIBITIWE.
FIFA AMKENI
Sawa sisi kama fifa tumekusikia mkuu

Tutaamka
 
WAARABU Huwa ni Waharibifu mno.

Wanawalipa wachezaji Mishahara ya kufuru.

FIFA inakataza MATUMIZI makubwa mno, INASISTIZA Fair play.

Mchezaji Huwa Akienda uarabuni Harudi na kiwango kile alichoondoka nacho.

HAWA WAARABU WADHIBITIWE.
FIFA AMKENI
Mbappe saa 1 = 216 TZSh Million yaan kila dakika analipwa TZsh 3.6 Million
 
Waarabu kwa sababu wanapesa wameamua kufanya umafia na sio muda ligi yao itakua yenye mvuto na itakubalika na itakua ndoto ya kila mchezaji kwenda kwenye pesa nyingi na ligi ya ulaya itafifia na kubaki ya kawaida tu ngoja uone miaka kadhaa mbele, mawakala washakimbilia saud arabia kufanya mikakati ya kibiashara kwa sasa
China walichemka mbona
 
Back
Top Bottom