Tangu ufunguzi wa usajili katika ligi mbalimbali duniani SAUDI ARABIA imeonekana ndio kinara katika kunyakua saini za wachezaji wakubwa ambao waLItegemewa na kuwa kivutio kikubwa kwenye EPL, miongoni wa wachezaji hao ni
Christiano Ronaldo (Manchester United), Karim Benzema (Real Madrid), Ruben Neves (Wolves), Hakim Ziyech (Chelsea), Kalidou Koulibaly (Chelsea) na Ngólo Kante (Chelsea), mbali na hapo hivi karibuni wako mbioni kuina saini ya mwamba wa africa, Saido Mane kutoka Liverpool
Swali ni kwamba ni nini hasa dhima ya Saudi Arabia na EPL?
Christiano Ronaldo (Manchester United), Karim Benzema (Real Madrid), Ruben Neves (Wolves), Hakim Ziyech (Chelsea), Kalidou Koulibaly (Chelsea) na Ngólo Kante (Chelsea), mbali na hapo hivi karibuni wako mbioni kuina saini ya mwamba wa africa, Saido Mane kutoka Liverpool
Swali ni kwamba ni nini hasa dhima ya Saudi Arabia na EPL?