Saut: Musa na sautso waichafua, wanafunzi wengi waacha chuo, ukahaba nje nje.

Hivi huyu musa ni nduguye na Alex ? kwani miaka ya 2009 kulikuwepo mjinga mwingine hapo aliyekuwa akinyanyasa wanachuo kwenye maswala ya mikopo. Huyo mjinga aliitwa Alex. Ni vema kama alifukuzwa na huyu Musa afukuzwe kwani wanadhalilisha hicho chuo na uongozi wa Kanisa kwa Ujumla wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…