Hivi huyu musa ni nduguye na Alex ? kwani miaka ya 2009 kulikuwepo mjinga mwingine hapo aliyekuwa akinyanyasa wanachuo kwenye maswala ya mikopo. Huyo mjinga aliitwa Alex. Ni vema kama alifukuzwa na huyu Musa afukuzwe kwani wanadhalilisha hicho chuo na uongozi wa Kanisa kwa Ujumla wake.