Saut-Mwanza Semista ya Pili inaanza Kesho

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Wadau wakati vyuo vingine wakiwa wameanza likizo hapa kwa mrumi semista ya pili inaanza rasmi kesho, nichukue fursa hii kuwatakia jamaa zangu masomo mema, wapende shule tuu maana ndio iliyowaleta Mwanza.
 
Hata semista ya kwanza walianza wik 3 kabla ya vyuo vngine
 
Chuo gani hiki cha division 3 na 4

We jamaaa n mpiuuz kama unadhan hyo div 2 au 1 yako imekutoa kijijin ikakupeleka Mzumbe au Udom au Sua ukajiona maisha ndo umeyaweza subir umalze urud mtaaan ndo utaanza yatafuna matapishi yako,ukute mtu mwenyewe pepa umevujishiwa sasa ishakuwa nongwa.....wapo watu wamescore div Zero kama Mbowe na bdo n tajir mkubwa na mtu anaheshmka town hapa......
Mtake:jarbu kuwa na akil na busara kwenye vitu vya msing,muanzisha uzi anawatakia wenzake masomo mema we unaleta upuuz wako na sio mara ya kwanza na jina lako la kihanisi hilo mgipamsuli.
 

sante ujumbe umefika
 
Mh hicho chuo nacho sijui kinatumiaga mtaara wa kembrigi! Kina kihere!!
 
Chuo la ukweli,,baba la vyuo bongo,,hawana uzinguzi,,hata kidogo,,,

Ivi zile ela za field mwaka wa pili (kwenye field ya mwaka kwanza) washapewa?? Kama hawana uzinguzi kwa nini ela zao hawakupewa on time?? Kajipange..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…