Hiki chuo kinatoa elimu ya kukariri na sio kumfanya mwanafunzi awe critical thinker haiwezakani mtu mmoja usome course 11 hadi 12 kwa semister moja kwani inamfanya hata mwanafunzi akose muda wa kwenda Library kusoma vitabu ili kuongeza uelewe isitoshe mtu unasoma mpaka jumamosi, naomba serikali iangalie hili suala kwani haimuandai mwanafunzi kwa kiwango kinachotakiwa.