polen wana-saut hususan wenye kipato cha chini kwani yawezekana hiyo special examz ikawa ni KOMESHA TOTO ila msikate tamaa kazeni kama mlivyokaza ktk shule za kata na shule zingine.
makofi kwako tafadhali kama huyo boya anasema Saut ada yake ni kubwa na TUMAINI wasemeje?? Mbulula wewe SAUT na UDSM wapi wana ada kubwa kenge wa madoa doa huyo
acha udini mkuu adui namba moja wa mtz ni shetani,ufisadi,ujinga,maradhi,n adui namba 1 wa mwislamu ni shetani na si mkristo na adui wa mkristo ni shetani na si mwislamu,je umeyashinda yote hayo?