Saut selection nje

Saut selection nje

hyo habari ilishakua posted humu..wenzako wako ahead of you mkuu..uwe unajaribu kwanza kusearch thread kabla ya kupost
 
hata ckukuomba ucoment,kama ushaona una kaa kmya,mbona unajiona unajua sana wewe

acha ku2kana watu wewe unaambiwa ukweli afu unajifanya unajua !! Kuhusu selectn za sauti watu washajua tokea juzii !!
<<< Ze duduz >>>
 
Mbona course ya barchelor of arts with education sihioni hapa jamani..msaada plz!!
 
kuna sehemu zingine unasoma ilimradi na wewe tu uwe na degree,ila kiukweli huwezi jisifu kwa watu wa maana
 
Jiheshimu utaheshimiwa, hvyo unavyojibu kwa hasira huta2i tatzo bali unajitwisha. Mayb ua still yng den kubal kufunzwa..

no kaka kuna wa2 humu ucpost ki2 kaz yao kudis 2 afu ndo wanajiona masenior,i dislike kind ov ppo wangu,mie nimeandka k2,jamaa anadis wot that mean,angekaa kmya kama haimuhusu
 
Back
Top Bottom