SAUTI ni kama Arusha chuo umegeuka CHADEMA

SAUTI ni kama Arusha chuo umegeuka CHADEMA

meba

Member
Joined
May 5, 2012
Posts
99
Reaction score
9
Leo katika chuo kikuu cha st.Augustine kulikuwa na final ya kombe la FAWASCO ambapo nilishangaa watu wote wanashangilia kwa kunyoosha vidole viwili juu muda wote hakuna hata mmoja alienda kinyume wengine badala ya kusema education oyeee...walikuwa wanakosea na kusema CHADEMA oyeee...kweli chd inapendwa sana. Hali kama hii hua naona kule Arusha kweli watu wote wa saut walishudia hali kama hii
 
Mkuu vyuo vikuu vyote vya serikali na private hali ndo hiyo. look at it as a situation that guarantees a bright prospect for CDM and a necessary fateful tragedy for CCM.

VIVA M4C!
 
Mkuu jaribuni kutumia muda mwingi ktk masomo, siasa za Bongo PASUA KICHWA!
 
Mambo yasiyo na maana katika dunia hii iliyojichokea ndiyo yanayopewa nafasi na binadamu wengi. Mfano mpira, siasa, ulevi, uzinzi n.k. Huku watu wakisahau juu ya Ufalme wa Mbinguni. Kama Chadema itawafikisha mbinguni, komaeni nayo.
 
unafiki mtupu kwasababu tuliokuwepo uwanjani hatukuliona hilo.
 
Leo katika chuo kikuu cha st.Augustine kulikuwa na final ya kombe la FAWASCO ambapo nilishangaa watu wote wanashangilia kwa kunyoosha vidole viwili juu muda wote hakuna hata mmoja alienda kinyume wengine badala ya kusema education oyeee...walikuwa wanakosea na kusema CHADEMA oyeee...kweli chd inapendwa sana. Hali kama hii hua naona kule Arusha kweli watu wote wa saut walishudia hali kama hii
Mkuu meba umedanganya kumbe? Soma hapa chini kwa mkuu tarizle.

unafiki mtupu kwasababu tuliokuwepo uwanjani hatukuliona hilo.
 
Back
Top Bottom