Kwani uongo?Najua unataka ionekane hawa ni mashoga, lakini nikwambie tu kuwa hii ni sanaa, msanii anaweza kufanya chochote ili mradi aendelee kutrend
Huyo wa kwanza kushoto ndio shogaNajua unataka ionekane hawa ni mashoga, lakini nikwambie tu kuwa hii ni sanaa, msanii anaweza kufanya chochote ili mradi aendelee kutrend
Hata mimi nasikia hivyo, but I'm not sureHuyo wa kwanza kushoto ndio shoga
Alitangaza mwenyewe kuwa ni GayHata mimi nasikia hivyo, but I'm not sure
AlishajitangazaHata mimi nasikia hivyo, but I'm not sure
Mmoja wapo alipata nguvu ya kujitangaza sasa hao waliobakia bado kuna maswali kwaoNajua unataka ionekane hawa ni mashoga, lakini nikwambie tu kuwa hii ni sanaa, msanii anaweza kufanya chochote ili mradi aendelee kutrend