sauti ya dada mtaja vituo ndani ya mwendokasi umeniweza

Kifurukutu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
4,641
Reaction score
6,694
Igweeeeeee

kiukweli hii sauti ishanikosha sana, ni dada gani huyu mwenye sauti tamu namna hii ambayo huweza kumtoa nyoka pangoni kwa asilimia kubwa ya wakwale wa jiji hasa tunapokua ndani ya basi

"kituo kinachofuata ni fiiiiire"

popote ulipo ewe dada wa kutaja vituo ndani ya mwendokasi naomba upokee ujumbe huu au nipm kama upo humu. au kama kuna member humu anamfahamu anipe tarifa zake nimpate wapi
 
Mkuu yupo humu ila tatizo ww huwataki wadada wa jf tena Ni single Mama
 
Kituo kinachofata ufanyweje?!? Wakufir@#$@##?!??!

Aisee Dar wanaume hakuna
 
mkuu ebu weka hiyo audio,,wengine tupo koromjie tunatumia usafiri wa guta,hatujui mwendokasi....
 
mwizi tuu yule, analegeza sauti ili waendelee kula 700 za watu mana ukienda na 1000 usitegemee utarudishiwa 350
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…