Anamaanisha kuwa sauti anayoimba Harmonize si yake, akiwa na maana kiuhalisia ameimba Diamond ila Harmonize kawekwa kama geresha tu. Isikilize vizuri ina make sense.Mkuu mbona unachanganya mafile..Embu weka maelezo yako kwenye 3D ueleweka..Diamond anahusika vipi kwenye ngoma ya Inde?
Kajipange tena urudi kuandika sababu umeanza ba kichwa cha habariWakuu, kwa sasa naona usanii unapitiliza.
Mimi si timu alikiba wala mavi kunuka gani sijui wala chama sina. Nakosoa panapohitajika.
Diamond hapa unachemka, atakayeiskia hii nyimbo atajua direct we ndio unayeimba, sauti yako tayari iko common, it doesnt make sense unapoenda kumtuma huyu dogo mayonaise kutoa video anarukaruka tu kapwaya.
Hapo ukiangalia Dully kafunika mbaya, mmeiga jina INDE MONIE-KANDA BONGOMAN, bado muigane sauti kucheza, mavazi, style na kila kitu.
Bwa'mdogo wa Mbagala jaribu japo kutengeneza muziki wako unaotambulika kimataifa,
mfano mdogo Chameleone.
We unaiga kila kitu, ndio maana yule nani sijui Davido alisema `"he will make you famous". We mwanamuziki unaalikwa matamasha ya kimataifa you dnt even know what to say there.
Kila muziki wako unakuja na kolabo na wanaijeria, mpaka siku hizi wabongo nje tunaitwa kollabo. Bado miziki yako ya zamani its my favourite km muziki gani, nataka kulewa, Kizaizai, Mbagala.
Jitahidi kutunga na uimbe mwenyewe. Kiuhalisia huyo dogo hapo anarukaruka tu kuuza sura na sauti haimkai kabisaaaa.
Kalaghabahoooo
Hili linawezekana, kwa sababu wakati wa utambulisho wa huu wimbo Dully alisema Diamond na wasafi team walisimamia production ya audio na video.ila isije ikawa ni maagizo ya boss
mi pia nimekereka sana japo dully alirudisha furaha kwenye ngoma hiyoNimeangalia video jana nimeishia kuboreka dogo anamuiga mondi mpaka sahv naona wanafanana mpaka sura kama mapacha
Dadavua hapo mkuu..Kuna kitu kwenye mambo ya usalama wanakiita "doubles".
[emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani ni balaa buluuNimeangalia video jana nimeishia kuboreka dogo anamuiga mondi mpaka sahv naona wanafanana mpaka sura kama mapacha
Wabongo bwana mnaponda harmonize kwamba anamuiga DAI lkn mnamkubali DESIGNER wa PANDA ambaye anafanana na FUTURE na nyimbo yake ilikamata no1 ktk billboard chart USA, huku unasahau Kuna PUSHA T na Kanye West.
Kama ni mara yako ya kwanza kuwa sikia hawa jamaa ni ngumu kuwatofautisha lkn wote wazuri kwa wenzetu si nongwa sana, ila huku bongo mmmh nongwa na hizi timu zetu zimetufanya tuwe WEHU.
Ukija kwenye kutumia hiyo Inde, kama mfuatialiaji mzuri KILI WANZENZA iliimbwa na wasanii kibao wa Kongo, ukija Azonto ya Dj Fuse ODG wa Ghana imeigwa na WIZKID na ana nyimbo inaitwa azonto kakopi mpaka uchezaji, YEMI ALADE akaja akakopi ktk nyimbo ya KOFFI ANAN ila kufanya harmonize wa WCB chini diamond platnumz mnaponda.
Braza acha KUZUNGUKA KAMA DAWA YA MBU YA KUCHOMA, ww kama mtu humpendi ww sema SIMPENDI basi, sio unakuja kuandika vitu wakati hauna REFERENCE za kutosha.
hajaiga hajaimba kacheza senema🙂Ananiboa Sana asee huyu dogo mayonize kila kitu anaiga kwa boss wake
sikiliza hiyo nyimbo mara 10,sikiliza nyimbo za DOGO WA MBAGALA ZA KUTOSHA,pima mzani wako.Mkuu mbona unachanganya mafile..Embu weka maelezo yako kwenye 3D ueleweka..Diamond anahusika vipi kwenye ngoma ya Inde?
Maagizo toka juuila isije ikawa ni maagizo ya boss
absolutelyMaagizo toka juu
we ushainama,vp utashiriki ukuta nikukute hukoWe dada acha umbeya Fanya maisha yako
Kajipange tena urudi kuandika sababu umeanza ba kichwa cha habari
Ukaja mm sio mwanachama
Mara mm sio mfwasi wa MTU au msanii yoyote mwisho ukasahau mada na maudhui ya kichwa chako cha habari
Mara diamond na nyimbo za kolabo
Mara sauti ya diamond
Ujinga uliopitiliza kabisa
Nyie wafwasi wa msanii wa Sony
Jipangeni bado mnakazi kubwa mbeleni kumfikia diamond
Nahisi kama vile huq mnachanganikia sana mondi akitoa single
Kajipangeni tena kwa vichwa vitawauma na ikizingatia siku hizi panado zimepigwa marufuku madukani
Ndio ilikua suluhisho la kichwa kwa watu waliochanganikia