Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
HahahaHuwenda ni Kasuku.
Lakini anasauti ya kawaida tu ajaribu kuikaza tuhttps://youtu.be/ki7BRpEspskNi kutokana na mood pale akiongelea kuwapiga shilawadu alikuwa na mood ya hasira na ukakamavu hivyo ikapandisha sauti yake that's why ukiangalia mieleka au Boxing wakati wa matambo sauti ni tofauti na real sound ya mhusika.
Mm nimefurahi kujua kuwa kumbe ni kweli aliwapiga shilawadu.
Huyo wa kwanza ni mdananda tu anayetafuta kiki kwa mgongo wa MozeWadau nimeona kuna uzi unamuonesha Moze Iyobo akihojiwa hivi karibuni huku sauti yake ikiwaacha wengi na mshangao.
Nimeingia YouTube na kukutana na video ya Moze Iyobo akiwa anatoa sauti kubwa na nzito hali iliyonifanya nijiulize kulikoni mtu mmoja ana sauti kubwa na ndogo? Je anaigiza sauti? Ipi ni sauti yake halisi kubwa au ndogo?
Msikilize hapa akitoa sauti kubwa
Hii hapa ndiyo sauti ya Moze Iyobo iliyowaacha watu na mshangao
Baada ya kuzikia hizo sauti hizi mbili je ipi sauti halisi ya Moze Iyobo?