SAUTISOL WATOA FILAMU MPYA NA ALIKIBA

pierre buyoya

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2015
Posts
476
Reaction score
163
Masaa machache yaliopita Wasanii nguli wa kenya maarufu kwa jina la Sautsol Wametoa Filamu yao mpya waliomshirikisha msanii nguli wa Tanzania Alikiba #kingkiba . . .

Filamu hiyo iliyoachiwa Youtube masaa machache yaliyopita mpaka sasa imefikisha views zaid ya 5000 na kuvunja rekodi ya Filamu yenye views wengi kwa muda mfupi . . .

Wachambuzi wa mambo wanasema huenda filamu hii itakuwa ya kwanza kutoka Afrika mashariki kuingia kwenye tuzo za Oscar nchini marekani . . .

Filamu hiyo ya Unconditionally Bae imechezwa kwa muda wa dakika 7:23 na kuvunja rekodi ya dunia . . .

Goodluck sautsol and alikiba . . .

 
Sasa, kwanini wameimba wimbo Mmoja Mara mbili Na video mbili Ktk kazi moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…