Save economy from sinking, govt urged

Upo kaka? Umepotea kweli.
 
Drama za viwanda zimekwisha sasa ili ku cover up wanatuletea drama za unga!! Nchi imemshinda simsikii tena akiongelea habari za uchumi.....
Mada za uchumi amewaachina kina mpango wapike Data.
 
Acha upumbavu wewe juha! Hivi hawa wachumi wana sababu yoyote ya kulidanganya Taifa kuhusu uchumi wa nchi na huku kukiwa na number za kuthibitisha wanayoyasema!? Kuwepo na wapumbavu kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Tanzania na Watanzania.

Punguza maneno ya khanga! Taifa linakuaje, uchumi ukiwa taabani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…