Mtoto wa Kishua
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 834
- 152
Wandugu ningependa kujua kama nita deposit kiasi cha millioni 50 na nataka niwe napata kipato kutokana na interest kw amwezi je , ni savings account au fixed deposit ipi ni bora na je naweza chukua mkopo kutokana na ku weka kiasi hicho na je intrest zake zikoje? ,wasanteni