Mtoto wa Kishua
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 834
- 152
Fixed Deposit is okay, siko updated na rates, lakini najua kenya commercial bank unaweza kukopa against your fixed deposit. lakini kwa nini ukope against cash mkuu?
Asante kwa jibu zuri, nachotaka ni hiyo pesa ni save na pia nipate income tokama na intrest , je calculation zinakuaje naweza pata monthly , kwasababu nataka hiyo pesa nisiiguse kabisa na pia nafikiri kuinvest kwenye treasury bills or bonds , asante