Sawa Big Daddy Geza

Hahaaa...Wacha nitumie neno lenu....Povu hiyo.Wewe hata ufanye nini...The country ahead of you will always be Kenya.Meza vidonge uteme,That's it.
70-46 = 24bn$ ahead
 
Ndugu, hii inafeed asilimia 0.00000001 ya watu wenyu
Kenya ina 300,000 acres of land under irrigation

Ethiopia ina 500,000 acres
Tanzania ina 180,000

Galana ni 1.25mn acres ......

Egypt ina 20mn acres
Sudan ina 12mn acres ...
South africa ina 17mn acres ....

By 2030 kenya inataka kuwa na 6mn acres

Sawa wacha hyo i feed 0.00000


Lakino mtashangaa wakati mazao yenu yatakuwa yanaharibikia shambani juu wakenya hawana haja ya kuinunua ....

Mtahamia Namanga Nairobi highway Kucamp kuyauza mpaka mpende!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…