Sawa mtapimana VVU na kile kifaa, vipi kuhusu UTI sugu, gonorrhea, homa ya ini, etc? Tuache ushamba tuvae condoms

Sawa mtapimana VVU na kile kifaa, vipi kuhusu UTI sugu, gonorrhea, homa ya ini, etc? Tuache ushamba tuvae condoms

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Hawa mademu wa telegram au mabwana zenu mtaani wasiwa tengenezee uhalali wa kufanya sex kavu kavu kisa tu mtapima vvu siku hio moja.

Sawa kaswende inatabika, ila utagharamika, unaweza muathiri na partner wako mwingine, na ni mara ngapi utakuwa unaumwa magonjwa haya na kujitubu?

Sawa hana ngoma, vp kama ana UTI iliokomaa, vp homa ya ini?

So tuache ushamba labda tu kama umeamua kujilipua.
 
Hawa mademu wa telegram au mabwana zenu mtaani wasiwa tengenezee uhalali wa kufanya sex kavu kavu kisa tu mtapima vvu siku hio moja.

Sawa kaswende inatabika, ila utagharamika, unaweza muathiri na partner wako mwingine, na ni mara ngapi utakuwa unaumwa magonjwa haya na kujitubu?

Sawa hana ngoma, vp kama ana UTI iliokomaa, vp homa ya ini?

So tuache ushamba labda tu kama umeamua kujilipua.
Hujaona tangazo majuzi tu hapa kwamba Landrover festival ilimaliza hiyo bidhaa nchini!!!?
Na sijui kama container zimeshashushwa
 
Sasa sii Bora ungesema tuu watu wapige nyeto maneno mengi ya nini
MANENO MACHACHE:

PIGA NYETO BABA
a1c41c00f4a15c782735a2084e35a27a.jpg
 
Hahhahahahahahah

Acha utani
 
Kuna mmoja tulipima VVU basi tukapata jeuri ya kutembezana show nyama kwa nyama, nilipigwa na UTI ya kiwaki waki, iliyonigharimu sana hela, muda na maumivu makali.
Nilikoma sana, kwa sasa hata sitaki kabisa hizo mambo.
 
Kuna mmoja tulipima VVU basi tukapata jeuri ya kutembezana show nyama kwa nyama, nilipigwa na UTI ya kiwaki waki, iliyonigharimu sana hela, muda na maumivu makali.
Nilikoma sana, kwa sasa hata sitaki kabisa hizo mambo.
Haya mambo yapo mkuu ila watu wanadhani utanii
 
Kuna mmoja tulipima VVU basi tukapata jeuri ya kutembezana show nyama kwa nyama, nilipigwa na UTI ya kiwaki waki, iliyonigharimu sana hela, muda na maumivu makali.
Nilikoma sana, kwa sasa hata sitaki kabisa hizo mambo.
Pole
 
Back
Top Bottom