🦁Watulie hao🏃Naona mashabiki wa simba wana lalamika sijui leo wamebebwa sijui wamebebwa maneno mengi kana kwamba refa alichukuwa mpira na kwenda kuweka ndani alafu ikawa goli
Na pili mpira ambao wanasema tumebebwa umepigwa kwa bahati mbaya na nzuri kwetu mpira ule haukuwa Assist au goli bali tulitumia nguvu zetu kutafuta goli
Tatu mngelikuwa ninyi mngeliweza? kwanini msikubali tu yanga wapo sawa
Na ukiona Azam ameonewa na wewe mpeni vocha refaa alafu tukutane
Tabu iko pale pale
Ukiona adui yako anakusifia rudi nyuma angalia umekosea wapi
Ila ukiona adui yako analalamika jua kabisa umewapiga kweli kweli
Aliyepelekewa moto ni aliyeruhusu comeback🏃, kwahiyo Azam ndiye kapelekewa moto🤔Kama mlibebwa wasiseme wapige kimya siyo, nyie si ndiyo mabingwa wa kulalamika kuonewa kila kukicha.
Kama yule kichaa wenu Ben alichofanya TFF wakisema jambo nanyi mtakimbilia kusema Wallace Karia ana shida na nyie.
Azam wamewapelekea moto balaa nyie mnasubiri goli za mchongo.
Aliyekuwa home ndio kapelekewa moto, pamoja na kupewa penati bado kashindwa kushindaAliyepelekewa moto ni aliyeruhusu comeback🏃, kwahiyo Azam ndiye kapelekewa moto🤔
Kauli za kikumaNaona mashabiki wa simba wana lalamika sijui leo wamebebwa sijui wamebebwa maneno mengi kana kwamba refa alichukuwa mpira na kwenda kuweka ndani alafu ikawa goli
Na pili mpira ambao wanasema tumebebwa umepigwa kwa bahati mbaya na nzuri kwetu mpira ule haukuwa Assist au goli bali tulitumia nguvu zetu kutafuta goli
Tatu mngelikuwa ninyi mngeliweza? kwanini msikubali tu yanga wapo sawa
Na ukiona Azam ameonewa na wewe mpeni vocha refaa alafu tukutane
Tabu iko pale pale
Ukiona adui yako anakusifia rudi nyuma angalia umekosea wapi
Ila ukiona adui yako analalamika jua kabisa umewapiga kweli kweli
kwa hiyo Karia amewapiga kweli kweli?...Ila ukiona adui yako analalamika jua kabisa umewapiga kweli kweli
Hawezi jibu huyo shabiki donatikwa hiyo Karia amewapiga kweli kweli?
Saaaafiiii......Naona mashabiki wa simba wana lalamika sijui leo wamebebwa sijui wamebebwa maneno mengi kana kwamba refa alichukuwa mpira na kwenda kuweka ndani alafu ikawa goli
Na pili mpira ambao wanasema tumebebwa umepigwa kwa bahati mbaya na nzuri kwetu mpira ule haukuwa Assist au goli bali tulitumia nguvu zetu kutafuta goli
Tatu mngelikuwa ninyi mngeliweza? kwanini msikubali tu yanga wapo sawa
Na ukiona Azam ameonewa na wewe mpeni vocha refaa alafu tukutane
Tabu iko pale pale
Ukiona adui yako anakusifia rudi nyuma angalia umekosea wapi
Ila ukiona adui yako analalamika jua kabisa umewapiga kweli kweli
Dah jiwe gizaniUnaandika utetezi weeee Lkn Kwa Mbaaali Akili inakataaa Na inakwambia.
' Mmmh pale Tumebebwa'.... Kiuhalisia tusingetoka salama kama Refa angesimamia haki.
Ila uliuona mziki wenyewe 🏃🏃Aliyekuwa home ndio kapelekewa moto, pamoja na kupewa penati bado kashindwa kushinda