Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Mateso yanaweza yakatuisha iwapo Bashite atakuwa mwanampendwa kama awamu iliyopitaMiaka Minne Yenu Ya Kuteseka Inakuja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na Kibaya Haiwezekani, CCM Haina Habari Naye Kwasasa.Labd
Mateso yanaweza yakatuisha iwapo Bashite atakuwa mwanampendwa kama awamu iliyopita
[emoji847][emoji847]Acha wafurahi na wao msimu huu misimu minne iliyopita yote waliangukia pua.
Nahisi kama mpira ulianza kuingiliwa kinyume pale mashabiki lia lia walipoanza kukaa madarakani.Simba haiwezi yanga wakiwa kwenye the same financial capability na bila figisu zozote. Hata wao wanajua ukweli kua 4 back to back ni bashite huyo.
Hii wanai punch kwa kusema yanga kabeba mara tatu mfululizo na azam mara moja ila wao wamebeba mara nne.[emoji847][emoji847]View attachment 2245046
Nahisi kama mpira ulianza kuingiliwa kinyume pale mashabiki lia lia walipoanza kukaa madarakani.
Kama itakuwa rahisi, tuwekewe listi ya mabingwa kuanzia 1995 mpaka 2005, pengine tunaweza jadili kitu!
Naona miaka 10 ya kwanza ni 4 kwa 4, Mtibwa mara 2 - Timu agosM haipo
Hapana hiyo hapo Ni misimu mitano, ambapo Azam kahusika Mara moja, na Yanga kahusika Mara nne, Miaka mitano bila Kolowizard kuligusa. Sasa jiulize yeye kakaa miaka mitano, Mimi nimekosa miaka minne. Sasa hapo Kolowizard inabidi mjitafakari Sana. Hamna pa kujifichia.Hii wanai punch kwa kusema yanga kabeba mara tatu mfululizo na azam mara moja ila wao wamebeba mara nne.
Kolo kichaka chake cha kujificha ndo kama ivo atakwambia ww umebeba mara tatu na azam mara 1, anaiacha ile kabla ya azam. Ukimuuliza 1+3 kama ni 5, anatukana.Hapana hiyo hapo Ni misimu mitano, ambapo Azam kahusika Mara moja, na Yanga kahusika Mara nne, Miaka mitano bila Kolowizard kuligusa. Sasa jiulize yeye kakaa miaka mitano, Mimi nimekosa miaka minne. Sasa hapo Kolowizard inabidi mjitafakari Sana. Hamna pa kujifichia.
Sawa. Tumekubali kwamba nyie Utopolo FC ndiyo mabingwa NBC Premier league mwaka huu.
Pia mtachukua ubingwa wa Azam FA CUP. Tukutane msimu ujao Utopolo wakubwa nyie!
Sawa. Tumekubali kwamba nyie Utopolo FC ndiyo mabingwa NBC Premier league mwaka huu.
Pia mtachukua ubingwa wa Azam FA CUP. Tukutane msimu ujao Utopolo wakubwa nyie!