..binafsi sioni umakini ktk hoja ya kuwa na serikali 3. siamini kama hicho ndicho ambacho wa-Zenj wanahitaji kwa sasa hivi.
..vilevile naamini serikali 3 zitaongeza mzigo wa matumizi haswa kwa upande wetu wa-Tanganyika.
..zaidi sidhani kama ndani ya hiyo serikali ya muungano kutakuwa na maelewano. bado tutaendelea kuwa na magomvi ya wa-Zenj kujiona wanabanwa ktk mambo yao.
..wa-Tanganyika wanaona haya kuuvunja muungano. wanaogopa wataonekana watu wenye roho mbaya miongoni mwa jamii. kisingizio ni kwamba hawataki kuvunja undugu uliojengeka wakati wa uhai wa muungano, na hata kabla ya hapo.
..sasa kwa kuzingatia ukweli huo hapo juu, bora wa-Zenj waliopo bara sasa hivi wapewe status ya Permanent residency kwa kipindi fulani, na pia iwepo nafasi ya wao kuomba uraia kamili ikiwa watakuwa na nia hiyo.
..kwenye masuala ya sarafu, tunaweza kuanzisha a currecy board, kama chombo cha mpito. napendekeza hivyo kwasababu kuna mipango ya kuwa na sarafu ya East Africa.
..naamini wakati umefika kwa wa-Zenj kujiamulia mambo yao mengi zaidi, bila ya kuingiliwa na wa-Tanganyika.
..vilevile naamini serikali 3 zitaongeza mzigo wa matumizi haswa kwa upande wetu wa-Tanganyika.
..zaidi sidhani kama ndani ya hiyo serikali ya muungano kutakuwa na maelewano. bado tutaendelea kuwa na magomvi ya wa-Zenj kujiona wanabanwa ktk mambo yao.
..wa-Tanganyika wanaona haya kuuvunja muungano. wanaogopa wataonekana watu wenye roho mbaya miongoni mwa jamii. kisingizio ni kwamba hawataki kuvunja undugu uliojengeka wakati wa uhai wa muungano, na hata kabla ya hapo.
..sasa kwa kuzingatia ukweli huo hapo juu, bora wa-Zenj waliopo bara sasa hivi wapewe status ya Permanent residency kwa kipindi fulani, na pia iwepo nafasi ya wao kuomba uraia kamili ikiwa watakuwa na nia hiyo.
..kwenye masuala ya sarafu, tunaweza kuanzisha a currecy board, kama chombo cha mpito. napendekeza hivyo kwasababu kuna mipango ya kuwa na sarafu ya East Africa.
..naamini wakati umefika kwa wa-Zenj kujiamulia mambo yao mengi zaidi, bila ya kuingiliwa na wa-Tanganyika.