Sayansi imethibitisha uwepo wa Adam na Hawa

Sayansi imethibitisha uwepo wa Adam na Hawa

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
Imepita zaidi ya miaka 6000 mpaka 6700 Baba WA wanadamu Nabii Adam na Mama wa Wanadamu Hawa kushushwa kwenye ulimwengu huu wa Dunia.

Hatimaye utafiti uliofanywa hivi majuzi wa kisayansi umetoa ushahidi wa kutosha kwamba wanadamu wote waliopo Ulimwenguni wana ukoo mmoja, ambapo inaonyesha wanadamu wote tumetoka kwa mwanaume na mwanamke mmoja.

Uchunguzi huu juu ya Hawa wa Mitochondrial na Y-chromosomal ya Adam inaonyesha kwamba kila mtu aliye hai anatoka kwa babu mmoja wa uzazi na baba.

Watafiti hao waliweza kusema pia utofauti wa maumbile ya Binadamu uko chini bila kutarajia ambapo miaka ya nyuma kweli watu walikua wa kubwa lakini miaka inavyozidi kwenda wanadamu wanakua na maumbile madogo.

Zaidi ya hayo, utafiti unathibitisha kuwa mwili wa binadamu umeundwa na elementi kama vile oksijeni, kaboni, haidrojeni, nitrojeni, kalsiamu, na fosforasi - elementi zile zile zinazopatikana kwenye ukoko wa Dunia, ambazo zinaendana na masimulizi ya Mwanzo ya uumbaji.
 
huko mapango ya Isimila kusini kuna vitu vya vya watu wa kale vina umri wa miaka 60,000
Wazo lako lingekuwa sahihi iwapo unaamini sayansi inajua kila kitu 100%. Lakini sayansi imekuwa ikisema uongo mara nyingi tu.
 
Imepita zaidi ya miaka 6000 mpaka 6700 Baba WA wanadamu Nabii Adam na Mama wa Wanadamu Hawa kushushwa kwenye ulimwengu huu wa Dunia.

Hatimaye utafiti uliofanywa hivi majuzi wa kisayansi umetoa ushahidi wa kutosha kwamba wanadamu wote waliopo Ulimwenguni wana ukoo mmoja, ambapo inaonyesha wanadamu wote tumetoka kwa mwanaume na mwanamke mmoja.

Uchunguzi huu juu ya Hawa wa Mitochondrial na Y-chromosomal ya Adam inaonyesha kwamba kila mtu aliye hai anatoka kwa babu mmoja wa uzazi na baba.

Watafiti hao waliweza kusema pia utofauti wa maumbile ya Binadamu uko chini bila kutarajia ambapo miaka ya nyuma kweli watu walikua wa kubwa lakini miaka inavyozidi kwenda wanadamu wanakua na maumbile madogo.

Zaidi ya hayo, utafiti unathibitisha kuwa mwili wa binadamu umeundwa na elementi kama vile oksijeni, kaboni, haidrojeni, nitrojeni, kalsiamu, na fosforasi - elementi zile zile zinazopatikana kwenye ukoko wa Dunia, ambazo zinaendana na masimulizi ya Mwanzo ya uumbaji.
Wanasayansi ni waongo jamani, mara watuambie sisi tulikuwa masokwe sijui manyani yaani mtachomwa moto na uongo wenu, ndio maana mm nilisoma zangu KLF hahaa sitaki dhambi za kakaririshwa mie.

Sasa mnasema zamani watu walikuwa wakubwa, sasa hamjua kuna watu walikuwa wanaitwa wanephil jamani ambao ni viumbe kutoka Mbinguni walizaa na wanadamu.


Naamini Biblia tuu, habari za sayansi kwenye huu upande sitaki kusikia ila naamini tumetokana na mtu Adam na Hawa,.

Kwanini nimejikuta mimi mweusi, na wengine weupe hiyo ni siri ya Mungu, sitaki kuamini sayansi inayoniambia mimi nilikuwa nyani hahah.

Kaini alipomuua ndugu yake Habil, Mungu alimuwekea alama nadhani ndio ngozi nyeusi kila anapokwenda watu wamtambue hahhaa.

mzabzab najiuliza kwa nini wewe ni mfupi kumbe ni kutokana na mabadiliko hahaha
 
Wazo lako lingekuwa sahihi iwapo unaamini sayansi inajua kila kitu 100%. Lakini sayansi imekuwa ikisema uongo mara nyingi tu.
Sayansi haisemi uongo, bali sayansi inakuwa kila siku na iko tayari kwa kukosolewa.
Biblia ina uongo mwingi na haitaki uikosoe, kwamba wewe inatakiwa ukubali tu kila kilichomo.

Hilo ni tatizo tayari, kukubali kila kitu bila kuhoji hilo ni tatizo.
 
Wanasayansi ni waongo jamani, mara watuambie sisi tulikuwa masokwe sijui manyani yaani mtachomwa moto na uongo wenu, ndio maana mm nilisoma zangu KLF hahaa sitaki dhambi za kakaririshwa mie.

Sasa mnasema zamani watu walikuwa wakubwa, sasa hamjua kuna watu walikuwa wanaitwa wanephil jamani ambao ni viumbe kutoka Mbinguni walizaa na wanadamu.


Naamini Biblia tuu, habari za sayansi kwenye huu upande sitaki kusikia ila naamini tumetokana na mtu Adam na Hawa,.

Kwanini nimejikuta mimi mweusi, na wengine weupe hiyo ni siri ya Mungu, sitaki kuamini sayansi inayoniambia mimi nilikuwa nyani hahah.

Kaini alipomuua ndugu yake Habil, Mungu alimuwekea alama nadhani ndio ngozi nyeusi kila anapokwenda watu wamtambue hahhaa.

mzabzab najiuliza kwa nini wewe ni mfupi kumbe ni kutokana na mabadiliko hahaha
Shule gani hiyo mnafundishwa kwamba mlikuwa masokwe?
 
Shule ya msingi madenge unaijua? Ipo mtaa wa Yombo Temeke
Sayansi haisemi binadamu ametoka kwenye Sokwe, inasema tunashare ancestors na siyo kwamba tumetoka kwenye Sokwe.

Sasa kama umefundishwa binadamu ametoka kwenye sokwe pole sana.
 
Sayansi haisemi binadamu ametoka kwenye Sokwe, inasema tunashare ancestors na siyo kwamba tumetoka kwenye Sokwe.

Sasa kama umefundishwa binadamu ametoka kwenye sokwe pole sana.
Ndio nilivyofundishwa mimi madenge praimari skuli
 
Imepita zaidi ya miaka 6000 mpaka 6700 Baba WA wanadamu Nabii Adam na Mama wa Wanadamu Hawa kushushwa kwenye ulimwengu huu wa Dunia.

Hatimaye utafiti uliofanywa hivi majuzi wa kisayansi umetoa ushahidi wa kutosha kwamba wanadamu wote waliopo Ulimwenguni wana ukoo mmoja, ambapo inaonyesha wanadamu wote tumetoka kwa mwanaume na mwanamke mmoja.

Uchunguzi huu juu ya Hawa wa Mitochondrial na Y-chromosomal ya Adam inaonyesha kwamba kila mtu aliye hai anatoka kwa babu mmoja wa uzazi na baba.

Watafiti hao waliweza kusema pia utofauti wa maumbile ya Binadamu uko chini bila kutarajia ambapo miaka ya nyuma kweli watu walikua wa kubwa lakini miaka inavyozidi kwenda wanadamu wanakua na maumbile madogo.

Zaidi ya hayo, utafiti unathibitisha kuwa mwili wa binadamu umeundwa na elementi kama vile oksijeni, kaboni, haidrojeni, nitrojeni, kalsiamu, na fosforasi - elementi zile zile zinazopatikana kwenye ukoko wa Dunia, ambazo zinaendana na masimulizi ya Mwanzo ya uumbaji.
Sijui mada niliona wapi waarabu wanadai adamu wana kaburi lao.lefu kama behewa la SGR
 
Back
Top Bottom