Sayansi na maajabu ya samaki Pweza

wanaume tumeumbwa mateso, yaani mnapangwa na demu mmoja na mkimaliza mnakufa faster.
 
Ila mimi sijaona sayansi yoyote kwenye uliyoyasema. These are just astonishing facts
 
Kwahiyo mnaokula supu ya pweza ni sawa mnakula mabao ya pweza midume kumi??? Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…