Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Toka ndotoni we kilamba mwiko
Mwiko..kilamba nini[emoji23][emoji23]
Mkuu ijaribu,inafanya kazi sana.daah
Ha ha ha haToka ndotoni we kilamba mwiko
ngoja niangalie nampenda naniMkuu ijaribu,inafanya kazi sana.
Mwiko..
Usihangaike Sana nipo hapa 0762....πngoja niangalie nampenda nani
Huyo anayekunyima usingizingoja niangalie nampenda nani
kimasihara tu.mkuu hiyo njia ni nzuri japo inahitaji uwe muigizaji haswa.
kuna manzi nilimwelewaga huko nyuma alikua wa geti kali, kuonana nae ilikua ngum nikatafta namba yake then nikamuandikia ujumbe...
"happy kumbuka kiapo ulichoapa mbele zangu kua hutowahi nifanyia mshirika bt umekivunja kiapo bila huruma hata ukautia majeraha moyo wangu, nimeshafuta no. zako bt kwa kua zipo kichwani acha nikujuze kua ukisikia nimetoweka ujue ni ajili yako"
alipga sim akanambia umekosea namba then akanipa pole kama zote then nikajifanya kama nalia, akasema dah! nashndwa hata nikusaidieje, kwani upo wapi nikamweleza.... kilichofuata mpenz mtazamaji tukutane ITV
ha ha ha ha, baada ya hapo ungeendeleza mawasilianomkuu hiyo njia ni nzuri japo inahitaji uwe muigizaji haswa.
kuna manzi nilimwelewaga huko nyuma alikua wa geti kali, kuonana nae ilikua ngum nikatafta namba yake then nikamuandikia ujumbe...
"happy kumbuka kiapo ulichoapa mbele zangu kua hutowahi nifanyia mshirika bt umekivunja kiapo bila huruma hata ukautia majeraha moyo wangu, nimeshafuta no. zako bt kwa kua zipo kichwani acha nikujuze kua ukisikia nimetoweka ujue ni ajili yako"
alipga sim akanambia umekosea namba then akanipa pole kama zote then nikajifanya kama nalia, akasema dah! nashndwa hata nikusaidieje, kwani upo wapi nikamweleza.... kilichofuata mpenz mtazamaji tukutane ITV
tuliendelea mda mrefu bt kosa langu lilikua kumweleza ukweli, tangu wakati ule akapoteza imani namiha ha ha ha, baada ya hapo ungeendeleza mawasiliano
ππππππalooooUsihangaike Sana nipo hapa 0762....π
yeah bt nilipomwambia ukweli wa nilivompata alinimwaga coz alinambia nilikuja kwako nikijua una upendo wa kweli kumbe maigizo tu, nilijilaumu sana kumwambia.kimasihara tu.
Huyo anayekunyima usingizi
hahhaaaaa baharia ukajiona kidume.. ushakula tundayeah bt nilipomwambia ukweli wa nilivompata alinimwaga coz alinambia nilikuja kwako nikijua una upendo wa kweli kumbe maigizo tu, nilijilaumu sana kumwambia.
Nasubiri simu yangu ipate uhai tu toka kwa Toto juriii..πππππππaloooo