Sayansi ya kumpata mpenzi unayempenda

Imethibitishwa umepokea 30,000 akipiga mwambie jiunge kifurushi nataka tuchat. Akituma message sijibu akisema mbona huchat najibu tutachat jioni. Jioni kitaeleweka.

Mambo yakukosea message sinaga hiyoo story.
 
tatizo nimempenda mtu ambae hakuna namna nitaweza kuonana nae au kupata namba yake au kumfikia na aknisikiliza
 
Poor method , una mbinu za kitoto sana tena level ya vidudu
 
Hapo anatongozwa na wanaume 6 anao wajua..
Wew asie kujua atakuweka akilini saa ngap?

Sema nin mademu wa bongo wajui kusoma tabia za wanaume.
 
NAIKUBALI HII KIMTINDO,ishawahi nipatia demu mtamu kisa tu alikosea meseji ya kwenda kwa bwana wake ikaja kwangu. baada ya kujirudia rudia sana kwa hizo meseji ikabidi nimuombe tuonane nione huo utamu anaolalamika ili hali jamaa yake hamthamini,basi nikanasa mtegoni kwake nikamla kama mara tano hivi.... SO,naamini hii mitandao siku hizi ukibugi tu,unaliwa
 
Inawezekana yeye ndio alipanga iwe hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…