Saying I am Sorry......

...samahani, nimekosa naomba unisamehe ewe soulmate kipenzi cha rohoni mwangu...
Akileta madeko najua anahitaji kwenda lala huyo
Udugu wa shuka.
 
Ha ha MJ1 bana....unanilazimisha niombe msamaha? Siombi sasa tuone utanifanya nini
 
...samahani, nimekosa naomba unisamehe ewe soulmate kipenzi cha rohoni mwangu...
Akileta madeko najua anahitaji kwenda lala huyo
Udugu wa shuka.

Ah pale msamaha unapokuwa mistaken na "the need" we Mbu wewe?? kuna siku huyo Soulmate wako akichukia hata "Bibi" hatofunguka shauri yako!! Jifunze kubembeleza ohoooo!!

Ha ha MJ1 bana....unanilazimisha niombe msamaha? Siombi sasa tuone utanifanya nini

Hahahah DA bana usiwe mbishi hakuna kitu kizuri kama kuomba msamaha.....mwenzenu napendaga kulia kweli ili nibembelezwe!!

afu nimekumiss sana ujue!
 
Ah pale msamaha unapokuwa mistaken na "the need" we Mbu wewe?? kuna siku huyo Soulmate wako akichukia hata "Bibi" hatofunguka shauri yako!! Jifunze kubembeleza ohoooo!!

...lol...mwj1 nitakualika uwe volunteer kwenye rehearsal ya kuomba msamaha... Hapo tu ndio utajua msamaha wa mbu unakubalika au la...xoxo
 
Aah bwanaye usiminde jambo dogo tu unalikuza mbona glass kabatini hugomgana sembuse mimi nawewe!
 
Aah bwanaye usiminde jambo dogo tu unalikuza mbona glass kabatini hugomgana sembuse mimi nawewe!
mapujds hahah eti usimind wakati c ajabu ni kitu cha kukera haswa!

Ila wanaume wengine huuchuna tu, utanuna atajifanya hakuoni mpaka utaachia mwenyewe
 
...lol...mwj1 nitakualika uwe volunteer kwenye rehearsal ya kuomba msamaha... Hapo tu ndio utajua msamaha wa mbu unakubalika au la...xoxo
I hope utanialika pia akileta madeko haha c utarehease hata hiyo part ya "undugu wa shuka"? Lol
 
Reactions: Mbu
<span style="font-family: comic sans ms"><font size="4">Jambo dogo tu imekuwa nongwa, ........... kwani wewe huwa hukosei?</font></span>
hahahah hii nayo ipo sana kaka yaani hapa unalazimishwa kusamehe huku haki yako ya kuombwa msamaha ikibakwa!....eti kwani wewe huwa hukosei!!
 
Hahahah DA bana usiwe mbishi hakuna kitu kizuri kama kuomba msamaha.....mwenzenu napendaga kulia kweli ili nibembelezwe!!

afu nimekumiss sana ujue![/QUOTE]

Mie siombi msamaha labda siku yangu ya mwisho ndo nitafanya hivyo kisa nini bana khaaa!!!! Acha kabisa unaomba msamaha mtu yeye kwanza akikosea anakugeuzia kibao namimi siku hizi kimya tena nafanya na makosa makusudi ili imuume zaidi.

Jibu PM basi wewe
 
Daaaa are the true touchng rylics...lakini nazan maneno au neno lolote ni jema wat matters ni namna ya uwasilishaji wa ilo neno liendane kikweli kweli na midomo yako unavyomung'unya,pia macho yamaanishe,na kikukbwa how much love and touchng feeling u put inside thoz words ndiyo jambo la mcng zaidi...wat am trnyng to say speak from ur trul dpu feelings...eventually ur thouts itapokea the same...ivo uwasilishaj wa mwili kama utamkaj ni third pat ambayo olwys upokea kilichopo ndani ya mtu...aksante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…