Sie wenye macho ya Kungu sijui mtatugundua vp? Ukilia macho kungu, ukicheka macho kungu, ukinuna kungu....!!<br />
<br />
very true..our eyes can tell a lot,hata hivyo nimekumiss! pia naomba sana unisamehe kwa yale mambo niliyokukosea,haikuwa kusudio langu iwe vile but i promise not to offend u again(Finest don't know if i will keep this promise lol)but keep in mind that,i love you trully no matter what...
Wapendwa haya ni baadhi ya maneno/sentences/phrases zitumikazo katika kuomba msamaha kwa mpenzi wako. Kuna ambazo ni more sympathetic kwa kweli kiasi kwamba zinaweza kukufanya ukatabasamu na hacra zako kutoweka kabla hata mwombaji hajamaliza kuomba msamaha na kuna ambazo yaani badala ya kumsamehe kosa alilokosa unajikuta unatamani kumwongezea kosa jingine......................
Kuna hii...................
My darling, If I have ever wronged you, please forgive me
I want to make you smile again, please teach me how to make you smile again
Am dying for you to love me again, am dying to be in your arms again
Please mylove I cant be me if you cant make me feel that
Lakini kuna hii pia ............
...Ah nawe huna dogo? Si yamekwisha??!!
Au............
Bwana eh kama nimekukosea, nisamehe........................!!
Honestly ningependa kujua aina ya misamaa ambayo tulishawahi kuiomba/ombwa kwa/na wenzi wetu.
Dah!!! Aisee Klorokwin na Asprin wakiona meseji hii lazima waenda kwa Mwenyekiti wa mtaa kuomba nihamishwe, naona umeamua kuhamishia makazi mlimani kabisa<br />
<br />
very true..our eyes can tell a lot,hata hivyo nimekumiss! pia naomba sana unisamehe kwa yale mambo niliyokukosea,haikuwa kusudio langu iwe vile but i promise not to offend u again(Finest don't know if i will keep this promise lol)but keep in mind that,i love you trully no matter what...
Hahahaha!!! Zanta banaaSie wenye macho ya Kungu sijui mtatugundua vp? Ukilia macho kungu, ukicheka macho kungu, ukinuna kungu....!!
Nakuomba nisamehe Mpenzi Napenda niongee mengi nioneshe ni kiasi gani najutia kosa lakini naelewa kua nawe ni binadamu bado una hasira na hujapoa hivo maelezo yangu yatakua ka kelele tu kwako nakupa nafasi wa ndani wangu utafakari.. ila naomba nitapo rudi walau moyo wako juu yangu urudi hali ya kawaida Kikubwa jua nakupenda saana . Na najihisi si lolote bila penzi lako . Take care lov...
:first:Saa zingine msamaha umekuwa kama kichaka cha wazembe fulani kuendeleza ubazazi wao halafu MJ1 haya mambo yetu usiyaweke huku si unaona Asprin alivyoua bendi unadhani hapo nitakusamehe?
:coffee:ohooo....see now?
teh teh teh Hebu malizia ulichotaka kukisema hapa kiongozi...lolhahahah Mj1 sijui nimeathirika ama vipi lakini najaribu kuconnect dotts yule mdogo wako wa jana aliyetaka ushauri,na huu wa kwamba msamaha upi unafaa....asee..hivi babu yangu kasemaje hapa....ODM where are u?
<br /><br />ohooo....see now?
hapana kaizer kwa ishu ya jana haihusiani na hii thread kwa sababu kuu moja..... Mume wa yule mdada alishajua kuwa mkewe amecheat na alishamsamehe.hahahah Mj1 sijui nimeathirika ama vipi lakini najaribu kuconnect dotts yule mdogo wako wa jana aliyetaka ushauri,na huu wa kwamba msamaha upi unafaa....asee..hivi babu yangu kasemaje hapa....ODM where are u?
Niko hapa hommie...... natafakari kwa kichwa cha pili na kusoma kwa jicho la tatu......... Masaburi hayahusiki katika hili.hahahah Mj1 sijui nimeathirika ama vipi lakini najaribu kuconnect dotts yule mdogo wako wa jana aliyetaka ushauri,na huu wa kwamba msamaha upi unafaa....asee..hivi babu yangu kasemaje hapa....ODM where are u?
Niko huku jukwaa la Maria Roza..... come this way baby......Babu yuko wapi anifundishe kuomba msamaha mjukuu wake😛opcorn:
Hivi Babu anajua kuomba msamaha vilee???Babu yuko wapi anifundishe kuomba msamaha mjukuu wake😛opcorn:
Abegwoo abegwoo you need to say sorry woooo madamhapana kaizer kwa ishu ya jana haihusiani na hii thread kwa sababu kuu moja..... Mume wa yule mdada alishajua kuwa mkewe amecheat na alishamsamehe.
Hii nimeleta tu kufurahisha jamvi na kupunguza tension ya jana and it was inspired by a Nigerian movie I was watching last night. Ubarikiwe
<br />Sie wenye macho ya Kungu sijui mtatugundua vp? Ukilia macho kungu, ukicheka macho kungu, ukinuna kungu....!!
Kamuulize Eliza akwambie nlivyomwomba msamaha baada ya kuondoka bila kulipa bili...............Hivi Babu anajua kuomba msamaha vilee???
Mtu akiwa anakuomba msamaha muangalie kwenye macho yake
<br />Dah!!! Aisee Klorokwin na Asprin wakiona meseji hii lazima waenda kwa Mwenyekiti wa mtaa kuomba nihamishwe, naona umeamua kuhamishia makazi mlimani kabisa
Kwa Eliza case closedKamuulize Eliza akwambie nlivyomwomba msamaha baada ya kuondoka bila kulipa bili...............
Mkuu utawajua tuTF, kuna watu wanakuwaga na hizo nyusoo.......heee, kiasi kwamba akikuangalia unahisi yuko innocent kumbe linakung'ong'a tu!!