Saying I am Sorry......

Sie wenye macho ya Kungu sijui mtatugundua vp? Ukilia macho kungu, ukicheka macho kungu, ukinuna kungu....!!
 


hahahah Mj1 sijui nimeathirika ama vipi lakini najaribu kuconnect dotts yule mdogo wako wa jana aliyetaka ushauri,na huu wa kwamba msamaha upi unafaa....asee..hivi babu yangu kasemaje hapa....ODM where are u?
 
Dah!!! Aisee Klorokwin na Asprin wakiona meseji hii lazima waenda kwa Mwenyekiti wa mtaa kuomba nihamishwe, naona umeamua kuhamishia makazi mlimani kabisa
 

Thanks Love...hapo ulipoishia....Nisamehe Mpenzi Wangu, sina uchaguzi mwingine ila kukupenda tu....take care too
 
hahahah Mj1 sijui nimeathirika ama vipi lakini najaribu kuconnect dotts yule mdogo wako wa jana aliyetaka ushauri,na huu wa kwamba msamaha upi unafaa....asee..hivi babu yangu kasemaje hapa....ODM where are u?
teh teh teh Hebu malizia ulichotaka kukisema hapa kiongozi...lol
 
u were not meant to see this! its friday, nakusamehe kabla hujaomba msamaha. ila ile issue ingine yaani inabidi malaika washuke, usali salamu maria 150 na kwenda misa za kazi mwaka mzima!
mzima lakini?<br />
ohooo....see now?
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
 
Babu yuko wapi anifundishe kuomba msamaha mjukuu wake😛opcorn:
 
hahahah Mj1 sijui nimeathirika ama vipi lakini najaribu kuconnect dotts yule mdogo wako wa jana aliyetaka ushauri,na huu wa kwamba msamaha upi unafaa....asee..hivi babu yangu kasemaje hapa....ODM where are u?
hapana kaizer kwa ishu ya jana haihusiani na hii thread kwa sababu kuu moja..... Mume wa yule mdada alishajua kuwa mkewe amecheat na alishamsamehe.

Hii nimeleta tu kufurahisha jamvi na kupunguza tension ya jana and it was inspired by a Nigerian movie I was watching last night. Ubarikiwe
 
hahahah Mj1 sijui nimeathirika ama vipi lakini najaribu kuconnect dotts yule mdogo wako wa jana aliyetaka ushauri,na huu wa kwamba msamaha upi unafaa....asee..hivi babu yangu kasemaje hapa....ODM where are u?
Niko hapa hommie...... natafakari kwa kichwa cha pili na kusoma kwa jicho la tatu......... Masaburi hayahusiki katika hili.

Yaani naunganisha hisia zinavyoweza kurudishwa na samahani lol
 
Babu yuko wapi anifundishe kuomba msamaha mjukuu wake😛opcorn:
Niko huku jukwaa la Maria Roza..... come this way baby......

Haya naanza somo, unataka kuomba msamaha kwa kosa lipi?............Am waiting!
 
Abegwoo abegwoo you need to say sorry woooo madam
 
Sie wenye macho ya Kungu sijui mtatugundua vp? Ukilia macho kungu, ukicheka macho kungu, ukinuna kungu....!!
<br />
<br />
hahaha..inahitaji kuwa smart ili kuwatambua watu wa aina yako
 
Dah!!! Aisee Klorokwin na Asprin wakiona meseji hii lazima waenda kwa Mwenyekiti wa mtaa kuomba nihamishwe, naona umeamua kuhamishia makazi mlimani kabisa
<br />
<br />
Mlimani ni mahali pangu pa kudumu,huyu ODM na kloro hawana ubavu wa kukuhamisha c unajua nguvu ya samahani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…