Mimi ni mmbishi sikuzidi wew iyo ni Jana nilikua Na Golden deer ya Swax sijui aliingia saa ngap majinja??
Maana alikalishwa!View attachment 1194724
Hilo gari ni shida,linaweza kupita na usilisikie kabisa,mlio wake kama gari ndogo!Huu Moto hatariView attachment 1193145
Ile sauti tamu sana mnyalukolo yaani utasikia Swwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, intercooler turbo diesel.Napanda ile sauti inayotoka kwenye scania hasa ikiwa mlimani
Hiyo mashine dume, ndiyo imo kwenye marcopolo andare, kuna moja ya abood nilipanda 2009 mpaka leo inapiga kazi,moto uleule.Scania 95 310hP
Scania ndugu zake ni Man diesel,Benz Actros ninashangaa kumfananisha na vitu vya ajabu ajabu kila kukicha...kuna jamaa jirani yetu wana 113 toka utawala wa Mwalimu Nyerere mpaka kesho wanayo na inaenda DRC...