scholarship 2012/2013 updates

mujoma2011

Member
Joined
Jun 2, 2011
Posts
6
Reaction score
0
Mi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha ARDHI university zamani UCLAS.
Nataka kuomba scholarship ya kwenda kusoma nje kwa coz tofauti na ya sasa ninayosoma.
Kwa sasa nasoma BsC in Environmental Engineering.
Napenda kusomea medicine.
Sasa nataka kujua kama naweza ku aply kwa procedure zile zile wanazotumia form six kwenda kuanza mwaka wa kwanza.
Kwa mfano hizi scholarship za algeria.
Msaada please kwa anayejua
 
Hapo ARU pamekushnda au?
 

mmh nipo Aru pia najua mzik wa pale ila dont give up mapema kiac ichondo kwanza upo mwaka wa kwanza ata matokeo bado,izo scholarship i think ni hadi mwezi wa 4,kwa info zaid ingia tcu website.
 
Algeria kwa kawaida wanaomba kupitia wizara ya elimu pale wizarani au utumishi karibu na wizara ya ardhi
 
Zipo za Homs Syria kama unakifua cha kwenda. Maelezo zaidi nenda msikiti wa Mtoro Kariakoo
 
duuh brother nakushauri concentrate ktk kitabu hapo hapo.
maisha popote.
najua umexoma kwa shida PCB unataka fulfill dreams za medicine bt kibongo bongo bila connection scholarship hakunaga.
ila sikukatishi tamaa kaka.
also be care unaweza loose kwote.

tzscholarship.blogspot.com
 
nenda web ya tcu,fungua guided books kwenye content utakuta humo scholaship za algeria,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…