Scholarship Masters na PhD tu

Scholarship Masters na PhD tu

NullPointer

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2011
Posts
3,461
Reaction score
2,273
Ni scholarship ya South Korea, kwa wanaohitaji Masters au PhD, ni Government Scholarship maan yake serikali ya South Korea italipia kila kitu. Swala uwe unamalizia au umemaliza Undergraduate kwa wanaotaka Masters au Masters kwa wale wa PhD, Pia uwe na vyeti vilivyosimama First class GPA ana chance kubwa maana wanahitajika watanzania WAWILI TU, Natoa bure kukuelekeza kila kitu kama nilivopita mimi mwaka jana angalau watanzania tupeane company huku South Korea. Interested niPM, vyuo vipo vikali tu na vingine vinarank Top 50 worldwide, huamini Google Seoul National University.
 
Shukrani sana! naomba usibitishie umma wa jf kama wewe ni beneficiary wa hizo scholarships maana kuna akinatomaso, pia inanichangaya unaposema applicant awe anatarajia kumaliza au awe amemaliza, na tena first class is preferable, je huyu anayetarajia kumaliza atajuaje first class yake?
 
Try it! Watu wanafanikiwa
 
Huyo ana transcript za miaka yote anasoma hapo yale matokeo hua yanaonyesha perfomance yake, Upper second unaweza kujaribu, nilisema First ni preferance ila kaa utakua very competitive kwenye interview unaweza ukachomoka. Afu kaka hapo mimi sio beneficiary wa scholarship na sio mimi ninayetoa Serikali ya S. Korea ndiyo inatoa, nimi nilishinda last year na nipo huku nasoma ninachofanya ni kutoa tu msaada niliputajepitaje hadi kufika huku basi na sijaomba hela yoyote kama ndo unavyodhani, The most competitive ndo anashinda sasa aweza kua yeyote mimi sio Mungu wa kujua yupi atapata japo ninasaidia tu fomu zinapatikaba wapi na unajaza vipi na interview inakua hivi na hivi etc.
 
Second upper class,gpa 3.8 vipi?au wao wanaangalia first class tu!
 
Be blessed hakuna hata haja ya PM kila kitu kinajieleza kiongozi!
 
Second Upper class waweza jaribu ila uwe competitive sana katika interview ili uweze kuwa juu maana kumbula wanachukua watu wawili tu, kama kuna mtu ana first class anakua na preference kubwa kuliko wewe, kaza buti...
 
Shukrani mkuu Dreson4 kwa moyo wako,wanaJF tuchangamkie fursa hizo.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom