ucpate tabu ndugu yangu,we GOOGLE TU....Jamani wadau naomba anaye fahamu website zinazojihusisha na utoaje wa scholarship za kusoma masters nje anianikie hapa jamvini.......!
kwa nin umemdirect huko?si ukasome Open University. Mastaz zipo pia. Au Muslim University Morogoro.
kwa nin umemdirect huko?
Google.Jamani wadau naomba anaye fahamu website zinazojihusisha na utoaje wa scholarship za kusoma masters nje anianikie hapa jamvini.......!
Hata ningem'direct Msumbiji pia ungeuliza. Open kwa sababu ni nje ya wilaya yake, na Muslim Morogoro kwa sababu ni nje ya mkoa wake. Unless afunguke na kusema ni nje ipi anamaanisha yeye.