Ndugu, kama huamini Embassy ya Peoples Republic of China in Tanzania, sikushauri uende huko. kwani level yako ya imani kwa hilo taifa iko chini sana.
Tafuta nchi nyengine utakayokuwa nayo comfortable.
Au chukua mud akujifunza nini maana ya Embassy. Ukielewa hiyo labda itakusaidia kwenye kuchagua kipi cha kuamini.