School bus "Kutoka Kitandani hadi Madarasani”

School bus "Kutoka Kitandani hadi Madarasani”

Paspii0

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2020
Posts
346
Reaction score
522
Kama mzazi au mlezi, mara nyingi unakutana na changamoto za kuamka mapema asubuhi ili kuwahi kuleta watoto shuleni kwa kutumia magari ya shule. Lakini, je, umewahi kujiuliza jinsi hali hii inavyowaathiri watoto wako kwa muda mrefu?

Kwa wengi wetu, usafiri wa magari ya shule ni suluhisho la haraka na la kisasa kwa watoto wanaohitaji kuwahi shule kwa wakati. Lakini, je, watoto wanapata nini kutoka kwa safari hii? Je, wanapata usingizi wa kutosha kabla ya kuanza siku zao?

Binafsi naona tunaandaa makondakta wa baadae kwa ujuzi na na nidhamu kali
 
Ndio maana sera na sheria ya mtoto inataka shuleni kuwe na vyumba vya watoto kupumzika pindi wanapo sikia usingizi ila shule nyingi hamna pia inategemeana na umri wa mtoto
 
Kama mzazi au mlezi, mara nyingi unakutana na changamoto za kuamka mapema asubuhi ili kuwahi kuleta watoto shuleni kwa kutumia magari ya shule. Lakini, je, umewahi kujiuliza jinsi hali hii inavyowaathiri watoto wako kwa muda mrefu?

Kwa wengi wetu, usafiri wa magari ya shule ni suluhisho la haraka na la kisasa kwa watoto wanaohitaji kuwahi shule kwa wakati. Lakini, je, watoto wanapata nini kutoka kwa safari hii? Je, wanapata usingizi wa kutosha kabla ya kuanza siku zao?

Binafsi naona tunaandaa makondakta wa baadae kwa ujuzi na na nidhamu kali
We mzazi mwenyewe huwa unaamka saa ngapi?, kama mtoto anapitiwa saa 12 .30 asubuhi hadi saa 1 asubuhi sio mbaya, ila saa 11 hadi 12 asubuhi hiyo ni asubuhi sana...
 
Mbona walokole wanakesha na makelele tukiamka wankuja kusinzia kazini lakini hujasema......
Walokole ni watu wazima sio watoto ambal akili zao zinakuwa wanahitaji kupumzika na kuepuka safari nyingiii tena za asubuhi asubuhi
 
We mzazi mwenyewe huwa unaamka saa ngapi?, kama mtoto anapitiwa saa 12 .30 asubuhi hadi saa 1 asubuhi sio mbaya, ila saa 11 hadi 12 asubuhi hiyo ni asubuhi sana...
Mimi n mkubwa najua na nastahimili hii mikiki ,hapa nazungumzia watoto tena under 5yrs
 
Kama mzazi au mlezi, mara nyingi unakutana na changamoto za kuamka mapema asubuhi ili kuwahi kuleta watoto shuleni kwa kutumia magari ya shule. Lakini, je, umewahi kujiuliza jinsi hali hii inavyowaathiri watoto wako kwa muda mrefu?

Kwa wengi wetu, usafiri wa magari ya shule ni suluhisho la haraka na la kisasa kwa watoto wanaohitaji kuwahi shule kwa wakati. Lakini, je, watoto wanapata nini kutoka kwa safari hii? Je, wanapata usingizi wa kutosha kabla ya kuanza siku zao?

Binafsi naona tunaandaa makondakta wa baadae kwa ujuzi na na nidhamu kali
Hata mazoezi hawafanyi ndio maana wanatoka vitambi!
 
Back
Top Bottom