School Buses: Shule za Msingi na Sekondari za Serikali

School Buses: Shule za Msingi na Sekondari za Serikali

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,013
Reaction score
1,183
Tanzania ! Tanzania !

Habari za muda huu wananchi wenzangu vipenzi vya Taifa letu Tanzania !

Naomba kutoa wazo na mchango wangu kwa Wizara ya Elimu Tanzania. Ikiwapendeza tunaomba huduma ya Usafiri kwa wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari za Serikali nchi nzima haijarishi Jiografia ya eneo. Watoto wanateseka sana na usafiri hasa kutoka maeneo wanakoishi mpaka shule wanakosomea.

1. Kila Kata pawe na Basi 4 za kutoa huduma za Usafiri kwa Wanafunzi wa Shule za Serikali pekee. Idadi inaweza kuongezeka kutokana na wingi wa wanafunzi husika.

a) Wananchi tutachanga Elfu 7,500/= kwa mwezi kwa kila mtoto kwenda - rudi.
b) Gharama za Huduma za Magari ni Serikali mtakomaa wenyewe

c) Dereva na Konda watakuwa waajiriwa wa Halmashauri husika kwa ajira mkataba au kudumu mtachagua wenyewe kutokana na mapato ya Halmashauri.

2. Kwenye hayo Mabasi Walimu wasipande kabisa hata raia yoyote haijalishi hadhi yake. Huu ni usafiri wa watoto wa Shule tu. Hata wanafunzi wa wa Shule Binafsi wasiruhusiwe kupanda abadani.

3. Namna ya upatikanaji wake wa hayo Mabasi mtatujulisha ila tusichangishwe hata kidogo maana hayo ni sehemu ya majukumu yetu kuleta ustawi kwa jamii na maendeleo.

Karibu.
 
Mmeshapewa elimu Bure, bado mnadai usafiri Bure! mwisho mtadai chakula bure..mitano Tena! CCM mbere Kwa mbere, wameipenda wenyewe!
 
Mmeshapewa elimu Bure, bado mnadai usafiri Bure! mwisho mtadai chakula bure..mitano Tena! CCM mbere Kwa mbere, wameipenda wenyewe!
Haaaaahaaaaa !
Tena wanatakiwa wajipange sana mpaka Chakula bure kwa watoto wote kwa shule za Serikali.

Tunataka mpaka Pedi za Watoto wa kike Shule za Msingi na Sekondari zitolewe bure mashuleni hakuna habari za 2,500/= ziishie mtaani aisee.
 
Tanzania ! Tanzania !

Habari za muda huu wananchi wenzangu vipenzi vya Taifa letu Tanzania !

Naomba kutoa wazo na mchango wangu kwa Wizara ya Elimu Tanzania. Ikiwapendeza tunaomba huduma ya Usafiri kwa wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari za Serikali nchi nzima haijarishi Jiografia ya eneo. Watoto wanateseka sana na usafiri hasa kutoka maeneo wanakoishi mpaka shule wanakosomea.

1. Kila Kata pawe na Basi 4 za kutoa huduma za Usafiri kwa Wanafunzi wa Shule za Serikali pekee. Idadi inaweza kuongezeka kutokana na wingi wa wanafunzi husika.

a) Wananchi tutachanga Elfu 7,500/= kwa mwezi kwa kila mtoto kwenda - rudi.
b) Gharama za Huduma za Magari ni Serikali mtakomaa wenyewe

c) Dereva na Konda watakuwa waajiriwa wa Halmashauri husika kwa ajira mkataba au kudumu mtachagua wenyewe kutokana na mapato ya Halmashauri.

2. Kwenye hayo Mabasi Walimu wasipande kabisa hata raia yoyote haijalishi hadhi yake. Huu ni usafiri wa watoto wa Shule tu. Hata wanafunzi wa wa Shule Binafsi wasiruhusiwe kupanda abadani.

3. Namna ya upatikanaji wake wa hayo Mabasi mtatujulisha ila tusichangishwe hata kidogo maana hayo ni sehemu ya majukumu yetu kuleta ustawi kwa jamii na maendeleo.

Karibu.
cc: LIKUD
 
Haaaaahaaaaa !
Tena wanatakiwa wajipange sana mpaka Chakula bure kwa watoto wote kwa shule za Serikali.

Tunataka mpaka Pedi za Watoto wa kike Shule za Msingi na Sekondari zitolewe bure mashuleni hakuna habari za 2,500/= ziishie mtaani aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tanzania ! Tanzania !

Habari za muda huu wananchi wenzangu vipenzi vya Taifa letu Tanzania !

Naomba kutoa wazo na mchango wangu kwa Wizara ya Elimu Tanzania. Ikiwapendeza tunaomba huduma ya Usafiri kwa wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari za Serikali nchi nzima haijarishi Jiografia ya eneo. Watoto wanateseka sana na usafiri hasa kutoka maeneo wanakoishi mpaka shule wanakosomea.

1. Kila Kata pawe na Basi 4 za kutoa huduma za Usafiri kwa Wanafunzi wa Shule za Serikali pekee. Idadi inaweza kuongezeka kutokana na wingi wa wanafunzi husika.

a) Wananchi tutachanga Elfu 7,500/= kwa mwezi kwa kila mtoto kwenda - rudi.
b) Gharama za Huduma za Magari ni Serikali mtakomaa wenyewe

c) Dereva na Konda watakuwa waajiriwa wa Halmashauri husika kwa ajira mkataba au kudumu mtachagua wenyewe kutokana na mapato ya Halmashauri.

2. Kwenye hayo Mabasi Walimu wasipande kabisa hata raia yoyote haijalishi hadhi yake. Huu ni usafiri wa watoto wa Shule tu. Hata wanafunzi wa wa Shule Binafsi wasiruhusiwe kupanda abadani.

3. Namna ya upatikanaji wake wa hayo Mabasi mtatujulisha ila tusichangishwe hata kidogo maana hayo ni sehemu ya majukumu yetu kuleta ustawi kwa jamii na maendeleo.

Karibu.
Asante mtoa mada. Tatizo akili za viongozi wetu ni kujijali wao na familia zao!
Wazo lako inawezekana kabisa kabisa kabisa. Ila utasikia hela hamna! Ila za ma V8 na nyingine za hao viongozi hela Zipo!
Wanajuwa hili tatizo lipo. Ila hawaoni umuhimu wake! Nasi WADANGANYIKA tunazidi kuwaweka madarakani!
Nani wa kumlaumu MDANGANYIKA?!?!?!
 
Tanzania ! Tanzania !

Habari za muda huu wananchi wenzangu vipenzi vya Taifa letu Tanzania !

Naomba kutoa wazo na mchango wangu kwa Wizara ya Elimu Tanzania. Ikiwapendeza tunaomba huduma ya Usafiri kwa wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari za Serikali nchi nzima haijarishi Jiografia ya eneo. Watoto wanateseka sana na usafiri hasa kutoka maeneo wanakoishi mpaka shule wanakosomea.

1. Kila Kata pawe na Basi 4 za kutoa huduma za Usafiri kwa Wanafunzi wa Shule za Serikali pekee. Idadi inaweza kuongezeka kutokana na wingi wa wanafunzi husika.

a) Wananchi tutachanga Elfu 7,500/= kwa mwezi kwa kila mtoto kwenda - rudi.
b) Gharama za Huduma za Magari ni Serikali mtakomaa wenyewe

c) Dereva na Konda watakuwa waajiriwa wa Halmashauri husika kwa ajira mkataba au kudumu mtachagua wenyewe kutokana na mapato ya Halmashauri.

2. Kwenye hayo Mabasi Walimu wasipande kabisa hata raia yoyote haijalishi hadhi yake. Huu ni usafiri wa watoto wa Shule tu. Hata wanafunzi wa wa Shule Binafsi wasiruhusiwe kupanda abadani.

3. Namna ya upatikanaji wake wa hayo Mabasi mtatujulisha ila tusichangishwe hata kidogo maana hayo ni sehemu ya majukumu yetu kuleta ustawi kwa jamii na maendeleo.

Karibu.
Siku hizi kuna shule za kata siyo zile za mbali kama tulizo soma sisi unatembea mpa ukifika shuleni damu ina chemka ..

Kama mtoto yupo anasoma mbali na kata aliyopo nenda kwa afisa elimu mwambie akubadilishie mtoto wako asome ndani ya kata yake akilala anasikia kengele ya shule
 
Siku hizi kuna shule za kata siyo zile za mbali kama tulizo soma sisi unatembea mpa ukifika shuleni damu ina chemka ..

Kama mtoto yupo anasoma mbali na kata aliyopo nenda kwa afisa elimu mwambie akubadilishie mtoto wako asome ndani ya kata yake akilala anasikia kengele ya shule
Ungekuwa unaijua Tanzania walau umetembea walau mikoa 2 au 3 na zaidi utakubaliana na mie.
Karibu.
 
Ungekuwa unaijua Tanzania walau umetembea walau mikoa 2 au 3 na zaidi utakubaliana na mie.
Karibu.
Mimi Tz naijua fanya nilichokuambia acha ujuaji.. timba pale kwa afisa elimu hamisha mtoto aende kwenye kata yake.. au tafuta mzazi mbadikishane. Maana kwenye daladala hawataki wanafunzi zaidi ya watatu na ni kwambinde sana japo kuna dala dala zingine zikifika kwenye kituo zina komba wanafunzi wote bila kujali lolote
 
Mimi Tz naijua fanya nilichokuambia acha ujuaji.. timba pale kwa afisa elimu hamisha mtoto aende kwenye kata yake.. au tafuta mzazi mbadikishane. Maana kwenye daladala hawataki wanafunzi zaidi ya watatu na ni kwambinde sana japo kuna dala dala zingine zikifika kwenye kituo zina komba wanafunzi wote bila kujali lolote
Sijasemea Daladala za Biashara kupakiza wanafunzi. Nilichozungumza hapa ni huduma rasmi ya Usafiri wa Basi maalumu kwa Wanafunzi wa Shule za Serikali. Hii itachochea hawa watoto wetu au watoto wa taifa hili kuwaza vizuri zaidi yetu kwenye uwanja wa kuleta maendeleo.

Sio sifa mtoto/ watoto kuwatesa wakati wa kupata haki yao ya msingi ya elimu kwenye mazingira mazuri na rafiki. Huduma ya Usafiri ni haki kwao.

Wewe umeleta hoja hapa ya kuhamisha mwanafunzi, huoni kama hoja yako ni mbaya. Unakuwa unamfanyia mtoto ukatili kwenye akili yake.

Huo sio uungwana kabisa.
 
Back
Top Bottom