School & College Management System service for free

School & College Management System service for free

kbmk

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2013
Posts
776
Reaction score
158
Elimusoft inakuletea OFA ya kufungia mwaka

Tunatoa huduma ya SCHOOL & COLLEGE MANAGEMENT SYSTEM free kwa mwaka 2022 shule na vyuo katika ngazi zote

Mfumo una features zaidi ya 40, baadhi yake ni kama

  1. Kutoa GPA ya motokeo ya mtihani ya kila mwanafunzi
  2. Kutoa DIVISION ya matokeo ya mihani ya kila mwanafunzi kwa A LEVEL na O LEVEL
  3. Kutoa wastani na GRADE ya wastani aliopata mwanafunzi
  4. Mzazi anaweza kuangalia matokeo ya mtoto wake au watoto wake kupitia account ya MZAZI.
  5. Ina support watumiajia wa aina nane MWANAFUNZI, MZAZI, MHASIBU, LIBRARIAN, MWALIMU, ADMIN, SUPER ADMIN na RECEPTIONIST .
  6. Huonyesha status ya marks alizopata mwanafunzi katika kila somo kwamba amefeli au amefauli kulingana na minimum marks iliyo wekwa
  7. MWALIMU au ADIMIN ana weka marks, mfumo hufanya yote yaliyo bakia kama vile kutafuta GRADE, AVERAGE, GPA, DIVISION nk
  8. Mfumo una FEES MANAGEMENTSYSTEM
  9. Academic report management system
  10. Financial management system
  11. Library management system
  12. Hostel Management System
  13. Transport management system
  14. Event Calendar
  15. Online Chatting in the system
  16. Communication Channel
  17. AND SO MANY .......................
 
COLLEGE RESULTS

67162419_938634506528672_161068970181394432_n.jpg
 
RESULTs WITH DIVISION AND GPA

254235244_1620561568335959_3308501070230047353_n.jpg
 
SCHOOL FEES COLLECTION

67214012_939269019798554_5036446490021593088_n.jpg
 
MOONSHINE wamepata huduma

253575861_1621624754896307_6196247150935178385_n.jpg
 
Mzazi akiwa kwenye account yake huona details za vijana wake kwa ku click majina yao tu. Elimusoft tuna fanya mambo magumu yawe marahisi

259940321_1631055227286593_2366336031004135553_n.jpg
 
Elimusoft inakuletea OFA ya kufungia mwaka

Tunatoa huduma ya SCHOOL & COLLEGE MANAGEMENT SYSTEM free kwa mwaka 2022 shule na vyuo katika ngazi zote

Mfumo una features zaidi ya 40, baadhi yake ni kama

  1. Kutoa GPA ya motokeo ya mtihani ya kila mwanafunzi
  2. Kutoa DIVISION ya matokeo ya mihani ya kila mwanafunzi kwa A LEVEL na O LEVEL
  3. Kutoa wastani na GRADE ya wastani aliopata mwanafunzi
  4. Mzazi anaweza kuangalia matokeo ya mtoto wake au watoto wake kupitia account ya MZAZI.
  5. Ina support watumiajia wa aina nane MWANAFUNZI, MZAZI, MHASIBU, LIBRARIAN, MWALIMU, ADMIN, SUPER ADMIN na RECEPTIONIST .
  6. Huonyesha status ya marks alizopata mwanafunzi katika kila somo kwamba amefeli au amefauli kulingana na minimum marks iliyo wekwa
  7. MWALIMU au ADIMIN ana weka marks, mfumo hufanya yote yaliyo bakia kama vile kutafuta GRADE, AVERAGE, GPA, DIVISION nk
  8. Mfumo una FEES MANAGEMENTSYSTEM
  9. Academic report management system
  10. Financial management system
  11. Library management system
  12. Hostel Management System
  13. Transport management system
  14. Event Calendar
  15. Online Chatting in the system
  16. Communication Channel
  17. AND SO MANY .......................
Huo mfumo kama ni free uweke hapo watu wapakue au utoe link sio namba.
Unless useme unauzwa utaje na bei.
 
Huo mfumo kama ni free uweke hapo watu wapakue au utoe link sio namba.
Unless useme unauzwa utaje na bei.
bAADA YA MWAKA MMOJA tunakaa mezani kwa ajii ya kupeana mkataba bei ni rafiki kabisa huku ukiwa tayari unajua ndani ya mfumo kuna nini. TUNA UHAKIKA UTAPENDWA TU
 
SWALI 01: Taasisi yetu ina primary school na secondary school, inawezekana kutumia mfumo mmoja huu kusimamia shule mbili hizi?

JIBU: Naaam inawezekana, mfumo mmoja una grading system za aina nne. Hivyo unaweza kutoa huduma kwa taasisi yenye shule toka NURSERY, PRIMARY, O - LEVEL na A - LEVEL kulingana na grade system zao.
 
SWALI 02: Je mfumo huu una weza kutumika katika vyuo ?

JIBU: Naaam unaweza kutumika vyuoni pia, Kuna VERSION kwa ajili ya SHULE na VERSION kwa ajili ya COLLEGE
 
Back
Top Bottom