Schoolarship agencies

specialist88

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2014
Posts
1,140
Reaction score
618
Habari ndugu zangu,

Naomba kuuliza,
Hivi hapa Tanzania hakuna watu/taasisi zinazojihusisha au zinazosaidia kutafutia watu udhamini wa kimasomo au Scholarship hasa kwa vyuo vya nje ya nchi—hasa Ulaya na Asia then wakishafanikisha ukawalipa pesa?

Kama zipo hizo taasisi basi naomba mnisaidie contact zao ili zinisaidie tafadhari.

NB:- Najua kuna site nyingi zinazotangaza hizo scholarship ila si kila mtu anaweza kujaza hizo form za scholarship+ kuwa na muda wakufuatilia haya mambo.

Ahsanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…