Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Wana Jf ugonile.
Kwanza natanguliza shukrani zangu za dhati kwa walimu wangu walionifundisha kwa kufika hapa nilipo bila wao ingeniwia vigumu kufika hapa.Nawashukuru sana Allah awajalie
Niende kwenye maada;Kipindi tupo shuleni mara nyingi tuliwasikia walimu wetu wakituambia tusome kwa bidii ili tuweze kuwa Madaktari,Marubani,Mainginia,Wahandisi,Wanasheria n.k.Wanafunzi wanasoma kwa bidii ili waweze kuwa wajiriwa katika sekta hizo na zingine nyingi.Minds za wanafunzi zinakuwa zinapandikizwa mawazo ya kuajiriwa hivyo anakuwa anasoma kwa bidii ili aweze kuajiriwa.
"If you don't get good grades,you won't do well in the real world"Hizi ni baadhi ya kauli za walimu wetu.Lakini kauli hizi hazina ukweli wowote katika maisha kiuhalisia.
Ukija mitaani wengi ambao sio wasomi au hawajaajiriwa ndio wanamaisha mazuri kuliko wasomi na waajiriwa.Nimekuja kugunduwa kumbe ile elimu ya darasani ni tofauti kabisa na kilicho katika mazingira yetu.Nimekuja kugunduwa kumbe vitu vingi nilivyosoma haviwezekani kuvi applay in the real world. In the real world hakuna haja ya kukariri Archimedes principal, au a play log base 10.Huku kuna shida ya hela tu.
NOTE; In the real world it's not smarter who get ahead but bold.
Kwanza natanguliza shukrani zangu za dhati kwa walimu wangu walionifundisha kwa kufika hapa nilipo bila wao ingeniwia vigumu kufika hapa.Nawashukuru sana Allah awajalie
Niende kwenye maada;Kipindi tupo shuleni mara nyingi tuliwasikia walimu wetu wakituambia tusome kwa bidii ili tuweze kuwa Madaktari,Marubani,Mainginia,Wahandisi,Wanasheria n.k.Wanafunzi wanasoma kwa bidii ili waweze kuwa wajiriwa katika sekta hizo na zingine nyingi.Minds za wanafunzi zinakuwa zinapandikizwa mawazo ya kuajiriwa hivyo anakuwa anasoma kwa bidii ili aweze kuajiriwa.
"If you don't get good grades,you won't do well in the real world"Hizi ni baadhi ya kauli za walimu wetu.Lakini kauli hizi hazina ukweli wowote katika maisha kiuhalisia.
Ukija mitaani wengi ambao sio wasomi au hawajaajiriwa ndio wanamaisha mazuri kuliko wasomi na waajiriwa.Nimekuja kugunduwa kumbe ile elimu ya darasani ni tofauti kabisa na kilicho katika mazingira yetu.Nimekuja kugunduwa kumbe vitu vingi nilivyosoma haviwezekani kuvi applay in the real world. In the real world hakuna haja ya kukariri Archimedes principal, au a play log base 10.Huku kuna shida ya hela tu.
NOTE; In the real world it's not smarter who get ahead but bold.