physioplus dar
Member
- May 15, 2019
- 69
- 23
JE UNAPATA DALILI HIZI
1.Maumivu makali eneo la kalio
2.Maumivu makali eneo la mgongo kushuka chini mpaka kwenye vidole vya mguu
3.Ganzi sehemu ya paja,miguuni, vidoleni
4.Baridi au miguu kuwaka moto au kusikia umeme/shoti ya umeme kupita nyuma ya paja mpaka miguuni
5. NA dalili hizo zinaongezeka unapo inama,kaa,kupanda ngazi na zinapungua unapo lala chali???? YAWEZEKAN KABISA UNA TATIZO LA SCIATICA/SCIATIC NERVE SYNDROME
ENDELEA KUFUTILIA PAGE @physioplus_dar
au piga/tsup 0718 22 48 40
kwa ushauri,uchunguzi na matibabu.
KESHO NITA UPLOAD VIDEO NIKIZUNGUMZIA TATIZO HILO. USIKOSE KUFUATILIA
1.Maumivu makali eneo la kalio
2.Maumivu makali eneo la mgongo kushuka chini mpaka kwenye vidole vya mguu
3.Ganzi sehemu ya paja,miguuni, vidoleni
4.Baridi au miguu kuwaka moto au kusikia umeme/shoti ya umeme kupita nyuma ya paja mpaka miguuni
5. NA dalili hizo zinaongezeka unapo inama,kaa,kupanda ngazi na zinapungua unapo lala chali???? YAWEZEKAN KABISA UNA TATIZO LA SCIATICA/SCIATIC NERVE SYNDROME
ENDELEA KUFUTILIA PAGE @physioplus_dar
au piga/tsup 0718 22 48 40
kwa ushauri,uchunguzi na matibabu.
KESHO NITA UPLOAD VIDEO NIKIZUNGUMZIA TATIZO HILO. USIKOSE KUFUATILIA