Scientists Create Human “Entity” That Has No Mother Or Father

Kingereza kinanitia uvivu kusoma hasa ukizingatia ni Cha kuunga unga somo
 
shituka kiazi ww utakojoa usingizini ivi ww umesoma embryology kwel ww .......yaan haya mambo bhana unadanganywa kama chizi na ww unageuka kuwa mdanganyaji
 
acha pumba kojoa kalale au urud skul usome basics za embryology et wamecrate utopolo pumba tupu
 
shituka kiazi ww utakojoa usingizini ivi ww umesoma embryology kwel ww .......yaan haya mambo bhana unadanganywa kama chizi na ww unageuka kuwa mdanganyaji
Kaka mm nimetafsiri sio ndo comment yangu kuna mdau aliomba .yaani ni kama ukija na documents za kifaransa tz huwa wanapeleka bakita inazitafsiri sasa content ya yaliyomo au hoja zilizomo zinanihusu nini mkalimani..
Kingine ushauri acha academic arrogance .sa kwa nini uulize ukuu wa elimu yako ya embryo?? Na sisi tukuulize ma quantum physics ndo ujione umesomea sociology?
 
Kaka mm nimetafsiri sio ndo comment yangu kuna mdau aliomba .yaani ni kama ukija na documents za kifaransa tz huwa wanapeleka bakita inazitafsiri sasa content ya yaliyomo au hoja zilizomo zinanihusu nini mkalimani
🥳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…