scietists na wengine cheki hii.

x - mas

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
931
Reaction score
612
Amani
iwe nanyi ndugu zangu kwa heshima yangu kwenu naomba kuwasilisha
matokeo kidato cha nne fulani ili uweze kunijuza kama inawezakana kwa
matokeo hayo muhusika akapata chuo cha umeme popote Tz iwe dip au cert
ikiwezekana unijuze na upatikanaji wa ajira baada ya kumaliza mafunzo
hayo.Matokeo hayo nikama ifuatavyo:
physics C
chemistry D
biology C
mathematics F
Kiswahili C n.k
muhusika anapenda fani ya umeme kutoka moyoni kuliko fani yoyote
Duniani,ushauri wako tafadhali asante.
 
Kwa sababu hesabu una red Flag, umeme utausikia kwenye matangazo tu. Labda u-resit upate angalau Danger itakusaidai kukamilisha ndoto yako. Vinginevyo soma ngwini
 
sometimes mm huwa naamini matokeo ya mtihani ni jinsi mtihan ulivyokujia siku hiyo. huyu kijana yuko poa kwenye ufundi umeme. nakushauri aanze dip ya umeme kwenye vyuo vya tanesco atamake tu. iyo F ya hesab isikutise sana sana.
 
sometimes mm huwa naamini matokeo ya mtihani ni jinsi mtihan ulivyokujia siku hiyo. huyu kijana yuko poa kwenye ufundi umeme. nakushauri aanze dip ya umeme kwenye vyuo vya tanesco atamake tu. iyo F ya hesab isikutise sana sana.
Mkuu, sikuhizi TANESCO inavyuo vyake?? Kwa ushauri huu sintoshangaa na mwingine kujitokeza akamshauri aende Chuo Cha Kaole Bagamoyo wananatoa Cert na Diploma ya Umeme.
Za asubuhi, Umeamkaje mkuu?
 
Mkuu, sikuhizi TANESCO inavyuo vyake?? Kwa ushauri huu sintoshangaa na mwingine kujitokeza akamshauri aende Chuo Cha Kaole Bagamoyo wananatoa Cert na Diploma ya Umeme.
Za asubuhi, Umeamkaje mkuu?

kwani mkuu kile pale stesheni ni chuo cha nani na nani anayesoma pale kama sio mafundi wa tanesco?? hebu google chuo ch atanesco uone?? unaijua ofidi ya tanesco ya zamani iliyoita steshen hapa Dar?? unajua kwamba siku hizi ni chuo baada ya kujengwa upya??
 
sometimes
mm huwa naamini
matokeo ya mtihani ni jinsi mtihan ulivyokujia siku hiyo. huyu kijana
yuko poa kwenye ufundi umeme. nakushauri aanze dip ya umeme kwenye vyuo
vya tanesco atamake tu. iyo F ya hesab isikutise sana sana.

nakubaliana nawewe kufeli mtihani wa somo fulani sio kwamba uliwezi somo
hilo kuna sababu nyingi zinazoweza sababisha kufeli ikiwemo hofu hasa
uzingatia mtihani wa math huwa ndo fungua mlango
sometimes mm huwa naamini
matokeo ya mtihani ni jinsi mtihan ulivyokujia siku hiyo. huyu kijana
yuko poa kwenye ufundi umeme. nakushauri aanze dip ya umeme kwenye vyuo
vya tanesco atamake tu. iyo F ya hesab isikutise sana sana.
 
INAWEZEKANA! Ila huyo dogo naona yuko mis informed ila anafit sana udaktari wa binadamu, eizara ishatangaza post deadline ni april, kuhusu umeme cmshauri saana japo anaweza anzia certi akapanda taratibu ila atachelewa sana.kuna rafik zangu walisomaga ayo madude anzia cert wapo tu kitaa.. bt 4 sure i can see his future bright with Clinical medicine.
 
hata kama muhusika ni wewe ni poa tu......sasa ni hivi,kama jamaa anapenda umeme,mbona nafasi anayo!!! mi nashauri akasome apendacho na si kupelekeshwa na mafokeo eti kama nna c ya kiswahili nikasome law!! NO hatuendi ivyo!!! kuna vyuo vingi na nna uhakika atapata chance...jaribun st joseph pale mbezi naiman hawezi kosa!!! kufel maths hasa hii ya o-level isiwe mwisho wa malengo na kama ingekuwa hivyo sijui wengine tungekua wapi??!!!
ANGALIZO:
Kama akifanikiwa kupata,aondoe mawazo yakushindwa tena haswa maths,na apende math na kuweka juhudi katika masomo....all the best....
 

hatakama ningekuwa ni mimi poa tu coz no one is perfect shukrani kwa mawazo yako yakutia moyo.
 
KiTUKO HIKI DUNIANI PHYSICS C MATHS F, DAH KUNA MWALIMU PALE MCHIKICHINI ANAITWA MODYPHYSICS ALISEMA KWAMBA UNAPOJUA PHYSICS LAZMA UJUE MATH ILA UNAPOJUA MATH SIO LAZIMA UJUE NA PHYSICS , HA HA HA HA HA
 
Math alifeli kwa bahati mbaya au ni mmbovu kwa ujumla katika Math ? Kama Math hajiwezi naamini hata Physcs ita mpa shida mbeleni. Na unapo zungumzi Elecrical, unazungumzia Math na Physics kwa wingi, kama math ni tatizo kwake hili litamtesa na hatimae anaweza asipate anacho kihitaji. Ajaribu kusoma hata IT mkuu.
 
Anaweza kuusomea umeme kama atafuta hiyo F in maths vinginevyo asahau.
 

math yuko fit zaidi ya phyz.
 
Basi anaweza kusoma pasipo kumletea shida, mie nimesoma izo mambo nilikua naona watu wanavyo umia na ku disco kutokana na namba hasa kwenye koz za Mechanical, Electrical pamoja na Structural engineer
math yuko fit zaidi ya phyz.
 
Bado naamini huyo kijana akiweka jitihada na kuonana na washauri wa taaluma katika vyuo vinavyotoa mafunzo katika eneo analolitaka anaweza kufanya vizuri sana...

Jana nilisoma makala ya Padre Karugengo kuhusu Mama mmoja (Susan Mashibe) ambaye ni Engineer wa ndege na rubani ila alianza mafunzo hayo baada ya kidato cha nne na siyo kadato cha 6 kama wengie wetu tulivyozoea. Na inasemekana post aliyopewa baada ya kumaliza kidato cha 4 ni ualimu. Labda tofauti ni kwamba alisomea USA!

Pia kuna watu wanaamini kuwa Naibu waziri wa Sayansi na Tech., January Makamba ni kichwa sana ambaye amesomea fani muhimu sana na kufaulu vizuri, wakati huko nyuma hakufanya vizuri kwenye mitihani ya sekondari.

Huyu kijana bado nampa nafasi ya kufikia ndoto zake.

Namshauri huyo dogo asome hii story hapa chini,

http://duniayetukubwa.blogspot.com/2011/05/sky-is-not-limit-anymore-for-young.html
 
Njoo Peramiho kwa hizo performance utapata wanatoa ufundi wa aina zote kuanzia certificate hadi diploma. Application inaanza September, masomo kwa 1st year yanaanza January. Pia kuna Nursing ipo kwa maksi waweza pata.
 
KiTUKO HIKI DUNIANI PHYSICS C MATHS F, DAH KUNA MWALIMU PALE MCHIKICHINI ANAITWA MODYPHYSICS ALISEMA KWAMBA UNAPOJUA PHYSICS LAZMA UJUE MATH ILA UNAPOJUA MATH SIO LAZIMA UJUE NA PHYSICS , HA HA HA HA HA

huyo mwl alisema kweli. Maths ni lugha ya kujua Physics
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…