Scott Besent, Waziri wa Fedha aliyeteuliwa na Donald Trump ni shoga

Scott Besent, Waziri wa Fedha aliyeteuliwa na Donald Trump ni shoga

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Rais mteule Donald Trump amemteua bilionea Scott Bessent kuwa waziri wa fedha katika serikali yake ijayo.


"Scott amekuwa mtetezi wa muda mrefu wa Ajenda ya Amerika Kwanza.
Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 250 ya Taifa letu Kuu, atanishirikisha kuleta enzi mpya ya Dhahabu kwa Marekani, tunapojidhatiti kama Uchumi unaoongoza Duniani, Kituo cha Ubunifu na Ujasiriamali, na Eneo la Uwekezaji, huku tukihakikisha bila shaka kwamba Dola ya Marekani inabaki kuwa Sarafu ya Akiba ya Dunia,”
Trump alisema katika taarifa ya kutangaza uteuzi huo siku ya Ijumaa, akithibitisha ripoti ya awali ya CNN.

Bessent, mwenye umri wa miaka 62, alimshauri Trump kuhusu sera za kiuchumi wakati wa kampeni na ndiye mwanzilishi wa kampuni ya uwekezaji ya Key Square Capital Management.

Bessent akipitishwa na Seneti atakuwa ni Waziri wa kwanza wa fedha shoga kwa nchini Marekani

Kabla ya hapo, alikuwa afisa mkuu wa uwekezaji katika Soros Fund Management, mfuko wa uwekezaji ulioanzishwa na mfadhili mkubwa wa chama cha Democratic, George Soros.



92396055-14123449-Scott_Bessent_is_pictured_alongside_his_husband_John_Freeman_and-a-3_1732549...jpg

Scott Bessent akiwa na mumewe John Freeman


 
Trump mbna anatuangusha tulimtumainia sana huyu alembi na mashoga

inavyoonesha sasa huyu anakuja kuivuruga DUNIA kirohombaya mana walivyotaraji wengi anaenda tofauti sasa
Wafuasi wake mmlisema sio mtu wa vita na fujo kama marais wengine wa States huyo sasa anatishia kuivamia Panama,Canada,Mexico,Greenland.

Mlisema hapendi wasenge huyo kachagua msenge wa kwanza
 
Huyo msenge kasoma Yale University , ni hedge fund manager na investor utajiri wa dola milioni 521... Nadhani wasifu wake ndio Trump ameangalia zaidi kuliko ushoga wake, kwa sababu hadi kasoma Yale inaelekea ana kitu...

Sema kaamua kupakuliwa mtaro, shoga ni shoga tu hata ahitimu mbinguni akiwa shoga huyo si mtu wa kukaa nae karibu ni kumtenga na jamii nzima imtenge..
Haswaa mana Allah anaweza kushusha balaa likakukumba nawewe
 
Huyo msenge kasoma Yale University , ni hedge fund manager na investor utajiri wa dola milioni 521... Nadhani wasifu wake ndio Trump ameangalia zaidi kuliko ushoga wake, kwa sababu hadi kasoma Yale inaelekea ana kitu...

Sema kaamua kupakuliwa mtaro, shoga ni shoga tu hata ahitimu mbinguni akiwa shoga huyo si mtu wa kukaa nae karibu ni kumtenga na jamii nzima imtenge..
Ni kwel ila ukiwa kwenye nchi za watu vunga tu
 
Back
Top Bottom