Hakuna watu wajinga duniani kama mashabiki wa Trump MAGA Waafrika wa Buza, Gamboshi, Namtumbo n.kWafuasi wake mmlisema sio mtu wa vita na fujo kama marais wengine wa States huyo sasa anatishia kuivamia Panama,Canada,Mexico,Greenland.
Mlisema hapendi wasenge huyo kachagua msenge wa kwanza
Wakikukatana na picha kama hii Trump katupia au paparazzi wamemnasa MAGA wanapagaa hao mara utasikia chaguo la Mungu, Mara Rais pekee anaye mtanguliza Mungu mara mkombozi wa Amerika kwanza tumempata maoni yao X na Quora huwa yananifurahisha sana.Hakuna watu wajinga duniani kama mashabiki wa Trump MAGA Waafrika wa Buza, Gamboshi, Namtumbo n.k
Mimi ni shabikiki wa Donald Trump, ila kwa kumchagua huyo BWABWA aminikera sana.Rais mteule Donald Trump amemteua bilionea Scott Bessent kuwa waziri wa fedha katika serikali yake ijayo.
"Scott amekuwa mtetezi wa muda mrefu wa Ajenda ya Amerika Kwanza.
Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 250 ya Taifa letu Kuu, atanishirikisha kuleta enzi mpya ya Dhahabu kwa Marekani, tunapojidhatiti kama Uchumi unaoongoza Duniani, Kituo cha Ubunifu na Ujasiriamali, na Eneo la Uwekezaji, huku tukihakikisha bila shaka kwamba Dola ya Marekani inabaki kuwa Sarafu ya Akiba ya Dunia,β Trump alisema katika taarifa ya kutangaza uteuzi huo siku ya Ijumaa, akithibitisha ripoti ya awali ya CNN.
Bessent, mwenye umri wa miaka 62, alimshauri Trump kuhusu sera za kiuchumi wakati wa kampeni na ndiye mwanzilishi wa kampuni ya uwekezaji ya Key Square Capital Management.
Bessent akipitishwa na Seneti atakuwa ni Waziri wa kwanza wa fedha shoga kwa nchini Marekani
Kabla ya hapo, alikuwa afisa mkuu wa uwekezaji katika Soros Fund Management, mfuko wa uwekezaji ulioanzishwa na mfadhili mkubwa wa chama cha Democratic, George Soros.
View attachment 3200623
Scott Bessent akiwa na mumewe John Freeman
Trump's Latest Pick for His Wildly Anti-LGBTQ+ Cabinet is a Gay Billionaire
In case you needed further proof that βrepresentationβ is not liberation.www.them.us
Hebu wataje hao ma emperor mashogaOf all 71 Roman Emperors, 12 of them were homosexuals, including the great ones who made history.
Hebu wataje hao ma emperor mashoga
Hukuwa unajua Trump ndiye Rais wa kwanza kumchagua shoga kwenye baraza la mawaziri la Marekani mwaka 2020 hata kabla ya kumpendekeza huyu wa sasaπ€£!Mimi ni shabikiki wa Donald Trump, ila kwa kumchagua huyo BWABWA aminikera sana.
Wazungu wanaangalia una nini kichwani ambacho unaweza kuisaidia Marekani kuwa superpower country milele.Trump mbna anatuangusha tulimtumainia sana huyu alembi na mashoga
inavyoonesha sasa huyu anakuja kuivuruga DUNIA kirohombaya mana walivyotaraji wengi anaenda tofauti sasa
Mashoga ni lazima mumtetea shoga mwenzenu,au ndio mpo proud ana wawakilisha?Wazungu wanaangalia una nini kichwani ambacho unaweza kuisaidia Marekani kuwa superpower country milele.
Sisi tunajiona watakatifu wakati raisi hashitakiwi, hata akiuua hakuna sheria itakayomshitaki, mke wa raisi analipwa, wake wa mawaziri wanalipwa mpaka mke wa balozi (siyo wale wa nyumba kumi)
Cha ajabu huyo shoga atamwekea vikwazo mpk raisi wa Urusiππππ
N.B
Kuendelea kuleta habari za ushoga ndiyo unaupigia promo pasipo wewe kujua. Kwao wameruhusu ila kwetu sisi ni hatua nzuri zimechukuliwa na sheria kali ziweke ila kumbuka Gomora na Sodoma.
Cha muhimu watu wamrudie Mungu
Ukiona nchi zingine zinawekewa vikwazo na mashoga ni wajinga sana.Wakikukatana na picha kama hii Trump katupia au paparazzi wamemnasa MAGA wanapagaa hao mara utasikia chaguo la Mungu, Mara Rais pekee anaye mtanguliza Mungu mara mkombozi wa Amerika kwanza tumempata maoni yao X na Quora huwa yananifurahisha sana.View attachment 3200658
Kuna nchi yoyote ya kiarabu au kiislamu inayomzidi maendeleo Marekani kiuchumi, kisiasa, sayansi, teknolojia, michezo na afya?Mashoga ni lazima mumtetea shoga mwenzenu,au ndio mpo proud ana wawakilisha?
Naona shoga umefurahi sana kwa shoga mwenzako kuteuliwa na Trump,bila shaka leo mtafanya pati kubwa sana ya kufumuana malinda.Kuna nchi yoyote ya kiarabu au kiislamu inayomzidi maendeleo Marekani kiuchumi, kisiasa, sayansi, teknolojia, michezo na afya?
Kama hakuna basi kuanzia Allah na Muhamad (SAW) hawana akili ya kuwawezesha watu wao wawe na akili. Mashoga wanawazidi akiliππππ
AdoptWana adapt. Imagine unakua adapted kwenye familia ya mashoga. Not fair
AsanteAdopt
Huyu ni shoga wa pili kuchaguliwaWafuasi wake mmlisema sio mtu wa vita na fujo kama marais wengine wa States huyo sasa anatishia kuivamia Panama,Canada,Mexico,Greenland.
Mlisema hapendi wasenge huyo kachagua msenge wa kwanza
Aya maombi ya walokole ndio yamearibu akili ya Tramp vip yeye na Ushoga kama izi atafadhili na utoaji mimba, ndiomana PAPA Francis akasema wale wagombea wote mashetani ila kuna mdogo na mkubwa!!!!!Wakikukatana na picha kama hii Trump katupia au paparazzi wamemnasa MAGA wanapagaa hao mara utasikia chaguo la Mungu, Mara Rais pekee anaye mtanguliza Mungu mara mkombozi wa Amerika kwanza tumempata maoni yao X na Quora huwa yananifurahisha sana.View attachment 3200658
I've heard homosexuality was normal in many parts of africa until white people ironically brought their religious stereotypes.Of all 71 Roman Emperors, 12 of them were homosexuals, including the great ones like Hadrian, Caligula and Nero.
White culture is extremely decadent and sacrilegious.
Sheria za sasa Africa kufanya ushoga ni jinai zimerithiwa kutoka kwa wakoloni wa Uingereza, hakukuwa na mijadala ya ushoga wala sheria za kupinga ushoga Africa kabla ya wakoloni kuja Africa. Kwenye nchi nyingi ambazo zilikuwa makoloni ya Ufaransa, Ureno na Ubelgji hakuna harakati na kelele za kupinga ushoga kama kwenye yaliyokuwa makoloni ya zamani ya Uingereza.I've heard homosexuality was normal in many parts of africa until white people ironically brought their religious stereotypes.