Scott Besent, Waziri wa Fedha aliyeteuliwa na Donald Trump ni shoga

Wafuasi wake mmlisema sio mtu wa vita na fujo kama marais wengine wa States huyo sasa anatishia kuivamia Panama,Canada,Mexico,Greenland.

Mlisema hapendi wasenge huyo kachagua msenge wa kwanza
Hakuna watu wajinga duniani kama mashabiki wa Trump MAGA Waafrika wa Buza, Gamboshi, Namtumbo n.k
 
Hiyo yote ni kuihadaa Dunia na kupromote ushoga ili uonekane kua ni jambo la kawaida,

Yani mtu tajiri na umesoma kisha unaliwa tope?
What's the point of your education and ur wealth?
 
Hakuna watu wajinga duniani kama mashabiki wa Trump MAGA Waafrika wa Buza, Gamboshi, Namtumbo n.k
Wakikukatana na picha kama hii Trump katupia au paparazzi wamemnasa MAGA wanapagaa hao mara utasikia chaguo la Mungu, Mara Rais pekee anaye mtanguliza Mungu mara mkombozi wa Amerika kwanza tumempata maoni yao X na Quora huwa yananifurahisha sana.
 
Mimi ni shabikiki wa Donald Trump, ila kwa kumchagua huyo BWABWA aminikera sana.
 
Trump mbna anatuangusha tulimtumainia sana huyu alembi na mashoga

inavyoonesha sasa huyu anakuja kuivuruga DUNIA kirohombaya mana walivyotaraji wengi anaenda tofauti sasa
Wazungu wanaangalia una nini kichwani ambacho unaweza kuisaidia Marekani kuwa superpower country milele.
Sisi tunajiona watakatifu wakati raisi hashitakiwi, hata akiuua hakuna sheria itakayomshitaki, mke wa raisi analipwa, wake wa mawaziri wanalipwa mpaka mke wa balozi (siyo wale wa nyumba kumi)
Cha ajabu huyo shoga atamwekea vikwazo mpk raisi wa UrusiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
N.B
Kuendelea kuleta habari za ushoga ndiyo unaupigia promo pasipo wewe kujua. Kwao wameruhusu ila kwetu sisi ni hatua nzuri zimechukuliwa na sheria kali ziweke ila kumbuka Gomora na Sodoma.
Cha muhimu watu wamrudie Mungu
 
Mashoga ni lazima mumtetea shoga mwenzenu,au ndio mpo proud ana wawakilisha?
 
Ukiona nchi zingine zinawekewa vikwazo na mashoga ni wajinga sana.
Inakuwaje Iran, urusi na china wanawekewa vikwazo na mashoga? Hakuna nchi wanaoweza kuwawekea vikwazo hawa mashoga?
Ukiona mashoga wanawazidi maendeleo basi hamna akili. Inakuwaje sisi Tanzania tuzidiwe akili na mashoga kuanzia ulinzi, utajiri, teknolojia n.k
Hao mashoga ndiyo wametengeneza Artificial intellengence? Iran, China, Urusi mpaka leo wanahangaika na copy za android, windows, linux na IOS.
Inashangaza kwa kweli
 
Mashoga ni lazima mumtetea shoga mwenzenu,au ndio mpo proud ana wawakilisha?
Kuna nchi yoyote ya kiarabu au kiislamu inayomzidi maendeleo Marekani kiuchumi, kisiasa, sayansi, teknolojia, michezo na afya?
Kama hakuna basi kuanzia Allah na Muhamad (SAW) hawana akili ya kuwawezesha watu wao wawe na akili. Inakuwaje mashoga wanawazidi akili Allah na Muhammad? πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Wenyewe wanaakili za kuwapa wafuasi wake mabikra 72 tu ila mengine ni 0
 
Naona shoga umefurahi sana kwa shoga mwenzako kuteuliwa na Trump,bila shaka leo mtafanya pati kubwa sana ya kufumuana malinda.
 
Wafuasi wake mmlisema sio mtu wa vita na fujo kama marais wengine wa States huyo sasa anatishia kuivamia Panama,Canada,Mexico,Greenland.

Mlisema hapendi wasenge huyo kachagua msenge wa kwanza
Huyu ni shoga wa pili kuchaguliwa
 
Aya maombi ya walokole ndio yamearibu akili ya Tramp vip yeye na Ushoga kama izi atafadhili na utoaji mimba, ndiomana PAPA Francis akasema wale wagombea wote mashetani ila kuna mdogo na mkubwa!!!!!
 
Of all 71 Roman Emperors, 12 of them were homosexuals, including the great ones like Hadrian, Caligula and Nero.

White culture is extremely decadent and sacrilegious.​
I've heard homosexuality was normal in many parts of africa until white people ironically brought their religious stereotypes.
 
I've heard homosexuality was normal in many parts of africa until white people ironically brought their religious stereotypes.
Sheria za sasa Africa kufanya ushoga ni jinai zimerithiwa kutoka kwa wakoloni wa Uingereza, hakukuwa na mijadala ya ushoga wala sheria za kupinga ushoga Africa kabla ya wakoloni kuja Africa. Kwenye nchi nyingi ambazo zilikuwa makoloni ya Ufaransa, Ureno na Ubelgji hakuna harakati na kelele za kupinga ushoga kama kwenye yaliyokuwa makoloni ya zamani ya Uingereza.
 
Binadamu wa kwanza kuzaa kwa mkundv hongera yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…