Scott Turner apata uteuzi Baraza la Mawaziri la Donald Trump

Scott Turner apata uteuzi Baraza la Mawaziri la Donald Trump

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Rais mteule Donald Trump alitangaza Ijumaa kuwa amemchagua Scott Turner, mchezaji wa zamani wa soka la kulipwa, kuwa waziri wa Idara ya Makazi.

Turner mshauri wa rais Trump kuhusu namna atakavyowezesha Wamrekani wa kipato cha chini na cha kati kupata makazi na kusaidia Wamarekani kupata umiliki wa nyumba.

=============================================================

Baada ya kumaliza teuzi nyingi muhimu Rais mteule wa Marekani Trump hatimaye amemtua mweusi wa kwanza kuingia katika baraza la mwaziri katika nafasi hafifu ya wizara ya makazi. Hii nafasi hupenda kuwapa watu weusi sijui kwa nini, katika kipindi chake cha utawala kilichopita alimteua yule daktari na mwandishi maarufu wa kisabato Ben Carson, sasa hivi kamteua mchezaji wa zamani.

20241123_061148.jpg

Screenshot_20241123-061314_X.jpg
 
Huku kwetu hajateuliwa mzungu hata mmoja, waafrika wabaguzi sana.
Tenaaq wabaguzi haswa na akiuliwa mzungu muhindi au mwarabu uone mpk maandamano ila hapa wote wanafurah utafikiria kateuluwa baba yao lakin huo n uwongo US mpk rais ameagakua black what stranges is that for black hata hv load Austin condolences rice au pollen powel wote na wengin n weusi walishika vyeo vya juu kuliko huyo uliomsema so hakuna u special labda useme Russia Israel China nk so hujawah kumuona black. Kwenye nyadhifa sio ajabu kwa marekani
 
Yeye ana teuwa watu wenye sifa na sio kuweka uwiano wa rangi kwenye uongozi.
Muafrica yeye ndo huwa anajiona ana haki ya kuwa bagua wengine.
 
Baada ya kumaliza teuzi nyingi muhimu Rais mteule wa Marekani Trump hatimaye amemtua mweusi wa kwanza kuingia katika baraza la mwaziri katika nafasi hafifu ya wizara ya makazi. Hii nafasi hupenda kuwapa watu weusi sijui kwa nini, katika kipindi chake cha utawala kilichopita alimteua yule daktari na mwandishi maarufu wa kisabato Ben Carson, sasa hivi kamteua mchezaji wa zamani!
View attachment 3159274
View attachment 3159275
The people of color are less than 12% of the Americans. So, the ratio can't be 1:1.
 
The people of color are less than 12% of the Americans. So, the ratio can't be 1:1.
Siongelei ratio, naongelea nafasi muhimu za utawala na maamuzi blacks huwa hawazilambi kwa Trump tofauti na ilivyokuwa kwa Bush, Obama na Biden.
 
Tenaaq wabaguzi haswa na akiuliwa mzungu muhindi au mwarabu uone mpk maandamano ila hapa wote wanafurah utafikiria kateuluwa baba yao lakin huo n uwongo US mpk rais ameagakua black what stranges is that for black hata hv load Austin condolences rice au pollen powel wote na wengin n weusi walishika vyeo vya juu kuliko huyo uliomsema so hakuna u special labda useme Russia Israel China nk so hujawah kumuona black. Kwenye nyadhifa sio ajabu kwa marekani
mbona unakosea kuandika majina kwa usahihi?
 
Sijaona mwarabu na muhindi ina maana hakuna raia hao marekani wakati imajaza karibu dunia nzima wapo hapo mpaka wachina. Kuna mmoja ana asili ya hispania kalamba uteuzi
 
Bashe,Stergomena,wazungu hawapo kwenye siasa wangekuwepo wangekula post,kwani naibu spika wetu anaitwa nani....
Yule ni Myemeni wa Kaskazini, wale wanaowahenyesha mazayuni, wamarekani na mashoga zao wote baharini.

Ile namba wachana nayo, haijwahi kushindwa.
 
Baada ya kumaliza teuzi nyingi muhimu Rais mteule wa Marekani Trump hatimaye amemtua mweusi wa kwanza kuingia katika baraza la mwaziri katika nafasi hafifu ya wizara ya makazi. Hii nafasi hupenda kuwapa watu weusi sijui kwa nini, katika kipindi chake cha utawala kilichopita alimteua yule daktari na mwandishi maarufu wa kisabato Ben Carson, sasa hivi kamteua mchezaji wa zamani!
View attachment 3159274
View attachment 3159275
Wako sahihi
 
Siongelei ratio, naongelea nafasi muhimu za utawala na maamuzi blacks huwa hawazilambi kwa Trump tofauti na ilivyokuwa kwa Bush, Obama na Biden.
Wewe unaangalia rangi.
 
Back
Top Bottom