Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Ushauri wangu ndio huo, michuano ya kufuzu AFCON inapigwa tarehe 17 na 18, huo ndio muda wa kwenda kusaka vipaji vya kuiletea mafanikio Simba msimu ujao.
Msije kusema sikuwaambia.
Msije kusema sikuwaambia.