Nilivyoona miwani nimekumbuka ile pic niliyokuambia naipenda[emoji23][emoji23]
😉 🥰😘💋Nilivyoona miwani nimekumbuka ile pic niliyokuambia naipenda[emoji23][emoji23]
Piga kelelee[emoji23][emoji6] [emoji3059][emoji8][emoji182]
Natamani nipige kelele niwaambie watu vile ninavyokupenda
Nani amekuwashia wifi 🥹 namimi mnipee pasiwedi
Nani amekuwashia wifi 🥹 namimi mnipee pasiwedi
Hee[emoji23][emoji23][emoji23]
WiFi ni kitu ya kukosa, ngoja nibebe router yangu kesho nije Arusha binti yangu
utafika na hunikuti....
Subiri kwanza nimuulize Nikki “MANGONGINGO” ni wadada wa aina gani then nitakurudia 🤣🤣🤣Piga kelelee[emoji23]