Wabongo Kwa kujifanya wazung,,, nachekaga sana ko ote humu mnasikiliza ngoma za nje kwamba za kwenu hamzipend,,, yani jmn ukute mtu alikuwa anasikiliza hata ngoma ya brother k'' kaona huu Uzi aka screen shoot ngoma ya waenglish hahaha achen u,k"" wana jf..tupende na za hom hahah